Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFANYABIASHARA KIBAHA PWANI AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

MFANYABIASHARA,  Salum Rajabu Selemani (51), anyeishi Kibaha Pwani, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na utakatishaji wa USD 898,000.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Easter Martin mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Rashid Chaungu imedai kuwa, kati ya Aprili Mosi na 20, mwaka huu ndani ya jiji la Dar es Salaam, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro  na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI



Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...

 

5 years ago

Michuzi

MKAZI WA BUNJU KIZIMBANI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

Na Karama Kenyunko globu ya jamii 
MFANYABIASHARA Msiniege Mwakatumbula (56), Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili likiwemo la kukutwa akifanya biashara ya madini isivyo halali  mali Serikali na utakatishaji wa fedha.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa  serikali Mwandamizi Wankyo Simon imedai kuwa, Machi Mosi, 2020 huko katika eneo la Bunju B lililopo...

 

5 years ago

Michuzi

WALIOCHAPISHA TANGAZO LA MIKOPO LINALOSEMA 'JANET MAGUFULI SACCOS' WAFIKISHWA KORTINI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI


Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

MWANAMKE Masse Uledi (43) ambaye ni Mkazi wa Kitunda Magore na mfanyabiashara Nkinda Shekalage (34), anayeishi Tegeta wazo wamewamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  jijini Dar es salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi.

Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka matatu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Augustina Mmbando ambayo ni kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha fedha.

Katika hati ya mashtaka...

 

5 years ago

Michuzi

WAFIKISHWA KORTINI KWA KUKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI YENYE MASHTAKA SABA ,LIMO LA KUFANYA UDANGANYIFU KATIKA SIMU ZA KIMATAIFA

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV.

RAIA wa Armenia Vardan Mkhitaryan mkazi wa Mbezi jijini Dar es Salaam na Rosemary Mwamezi mkazi wa Makumbusho, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka saba yakiwemo ya kufanya udanganyifu kwenye mawasiliano ya simu za kimataifa na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya sh.milioni 44.5.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi...

 

5 years ago

Michuzi

MKAZI WA DODOMA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA MASHTAKA MAWILI LIKIWEMO LA UTAKATISHAJI FEDHA

Mkazi wa Dodoma, Fredrick Nachipyangu(40) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka mawili, likiwamo la kutakatisha fedha kiasi cha Sh. Milioni 33.

Mshtakiwa Nachipyangu, amesomewa mashtaka yake leo Juni 10, 2020 Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Kasian Matembele.

Imedaiwa kuwa, April 24, 2015 huko katika benki ya CRDB tawi la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, mshtakiwa kwa njia ya udanganyifu alijipatia USD 14,320...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA LEMA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI

MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya  zaidi ya Sh. Milioni 383.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Vicky Mwaikambo na Wakili wa serikali mwamdamizi, Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu, kusafirisha magogo,  kugushi,  kutoa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kigogo kortini kwa uhujumu uchumi


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoa wa Mbeya, imempandisha kizimbani, Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya Mbeya, Gerishon Bwire.
Bwire anakabiliwa na makosa matatu tofauti, ambayo ni kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajiri wake, ubadhirifu na kuisababishia hasara mamlaka.
Mwendesha mashitaka wa TAKUKURU, Nimrod Mafwele, alidai mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa Mbeya, James Mhanusi, kuwa Bwire alifanya makosa hayo  Mei mwaka jana,...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA

Na Karama Kenyunko- Michuzi TV

MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.

Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...

 

9 years ago

Mwananchi

Raia wa China aunganishwa kesi ya uhujumu uchumi

Raia wa China, Li Ling Ling ameunganishwa katika kesi ya uhujumu uchumi kwa  kuchora michoro ya kihalifu ya kusafirisha nyara za serikali zenye thamani ya Sh 267.4 milioni na matumizi mabaya ya madaraka inayowakabili maofisa usalama wanne wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani