UDHURU WA HAKIMU ANAYESIKILIZA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MWANDISHI ERICK KABENDERA WAKWAMISHA MAJADILIANO MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-M1H3UsFGAdk/XkqwSddvUbI/AAAAAAALdyM/p8ei9Wv1pBoPq8ktQFnvbREuXHa6wIZ9ACLcBGAsYHQ/s72-c/f8ad07c9-6b32-41d8-9279-969ede15e2a8.jpg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Februari 17 mwaka 2020 imeshindwa kuendelea na makubaliano katika kesi a Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwandishi wa Habari Erick Kabendera kwa sababu Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amepata udhuru.
Kwa mujibu wa ratiba ya kesi hiyo leo ilitegemewa kuwa ni hatma ya mwisho ya Kabendera kusota rumande tangu alipopandishwa kizimbani Agosti 5,mwaka 2019 baada ya kuingia makubaliano na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h0gO7sjtK70/Xk1H9HusgaI/AAAAAAALeYY/tMHmjKz2xU0hjZN4r-s_ncQXOtGTq0DGwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI ERICK KABENDERA AHUKUMIWA KULIPA SHILINGI MILIONI 273, MAHAKAMA YAMUACHIA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI maarufu wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini na Fidia ya jumla ya sh. Milioni 273 baada ya kukiri makosa ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi.
Aidha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Kabendera kulipa faini ya sh.250,000 ama kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela baada ya kukiri kosa la kukwepa kodi huku pia akifutiwa kosa la kuongoza genge la uhalifu.
Hata hivyo mshtakiwa Kabendera ameishalipa Sh. Milioni 100 na...
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Erick Kabendera: Amnesty Inernational, CPJ wakosoa namna mwandishi wa Tanzania alivyopata uhuru wake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uP4wXJYslh0/Xto-EQ7AerI/AAAAAAALssw/zcI7hN2RqvUoj2aUAmeUVkJ7V2ee9gemwCLcBGAsYHQ/s72-c/3506c9e9-be14-46d5-91b1-e2cc16b8f4d7%2B%25281%2529.jpg)
MKURUGNZI MKUU MSD,MKUU WW LOJISTIKI WAFIKISHWA MAHAKAMANI WAKIKABILIWA NA KESI YA TUHUMA YA UHUJUMU UCHUMI
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari kuu ya Dawa (MSD) nchini, Laurean Bwanakunu na Mkuu wa Lojistiki wa bohari hiyo Byekwaso Tabura wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka matano likiwemo la kuisababishia hasara ya zaidi ya Sh.Bilioni bilioni 3.8
Mashtaka mengine ni kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 5, 2020, na...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Raia wa China aunganishwa kesi ya uhujumu uchumi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_P_ye_pqr0k/XpmYTegq-_I/AAAAAAALnOk/ZcQs47jPrfg_Kn1NCamocRMF8lBKOOPOgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.15.32%2BPM.jpeg)
MKAZI WA BUNJU KIZIMBANI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_P_ye_pqr0k/XpmYTegq-_I/AAAAAAALnOk/ZcQs47jPrfg_Kn1NCamocRMF8lBKOOPOgCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.15.32%2BPM.jpeg)
MFANYABIASHARA Msiniege Mwakatumbula (56), Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili likiwemo la kukutwa akifanya biashara ya madini isivyo halali mali Serikali na utakatishaji wa fedha.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Mwandamizi Wankyo Simon imedai kuwa, Machi Mosi, 2020 huko katika eneo la Bunju B lililopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s72-c/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s400/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
MAOFISA WANNE WA NEMC KIZIMBANI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TVMAOFISA wanne wa Baraza la usimamizi wa Mazungira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka tisa yakiwemo ya kughushi, kula njama, utakatishaji fedha na kuisababishia Mamlaka hasara ya Sh. Milioni 18.5..
Katika hati ya mashtaka...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ERICK KABENDERA AACHIWA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mapema leo, Kabendera aliyekuwa akikabiliwa na makosa matatu, alifutiwa kosa lake alilokuwa akidaiwa Kuongoza Genge la Uhalifu.
Hukumu imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega baada ya Kabendera kusota korokoroni tangu alipofikishwa...