Erick Kabendera: Amnesty Inernational, CPJ wakosoa namna mwandishi wa Tanzania alivyopata uhuru wake
Mashtaka dhidi ya Kabendera yanakosolewa kuwa ya kisiasa na wanaharakati
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI ERICK KABENDERA AHUKUMIWA KULIPA SHILINGI MILIONI 273, MAHAKAMA YAMUACHIA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI maarufu wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini na Fidia ya jumla ya sh. Milioni 273 baada ya kukiri makosa ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi.
Aidha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Kabendera kulipa faini ya sh.250,000 ama kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela baada ya kukiri kosa la kukwepa kodi huku pia akifutiwa kosa la kuongoza genge la uhalifu.
Hata hivyo mshtakiwa Kabendera ameishalipa Sh. Milioni 100 na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M1H3UsFGAdk/XkqwSddvUbI/AAAAAAALdyM/p8ei9Wv1pBoPq8ktQFnvbREuXHa6wIZ9ACLcBGAsYHQ/s72-c/f8ad07c9-6b32-41d8-9279-969ede15e2a8.jpg)
UDHURU WA HAKIMU ANAYESIKILIZA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MWANDISHI ERICK KABENDERA WAKWAMISHA MAJADILIANO MAHAKAMANI
Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Februari 17 mwaka 2020 imeshindwa kuendelea na makubaliano katika kesi a Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwandishi wa Habari Erick Kabendera kwa sababu Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amepata udhuru.
Kwa mujibu wa ratiba ya kesi hiyo leo ilitegemewa kuwa ni hatma ya mwisho ya Kabendera kusota rumande tangu alipopandishwa kizimbani Agosti 5,mwaka 2019 baada ya kuingia makubaliano na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Februari 17 mwaka 2020 imeshindwa kuendelea na makubaliano katika kesi a Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwandishi wa Habari Erick Kabendera kwa sababu Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amepata udhuru.
Kwa mujibu wa ratiba ya kesi hiyo leo ilitegemewa kuwa ni hatma ya mwisho ya Kabendera kusota rumande tangu alipopandishwa kizimbani Agosti 5,mwaka 2019 baada ya kuingia makubaliano na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini...
5 years ago
BBC24 Feb
Tanzania journalist Erick Kabendera freed after seven months
Erick Kabendera had been charged with money laundering, tax evasion and leading organised crime.
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Erick Kabendera: Mwanahabari mpekuzi wa Tanzania aachiwa huru
Mwandishi wa masuala ya uchunguzi nchini Tanzania Eric Kabendera ameachiliwa huru baada ya kuzuiliwa mahabusu kwa miezi sita.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ERICK KABENDERA AACHIWA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mapema leo, Kabendera aliyekuwa akikabiliwa na makosa matatu, alifutiwa kosa lake alilokuwa akidaiwa Kuongoza Genge la Uhalifu.
Hukumu imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega baada ya Kabendera kusota korokoroni tangu alipofikishwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bi3Np4G-cUk/VfNIpEv-vnI/AAAAAAAH4Hs/UbfKJ61d3v8/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
UHURU PUBLICATIONS LIMITED YALIA NA CHADEMA KWA KUPIGWA MWANDISHI WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bi3Np4G-cUk/VfNIpEv-vnI/AAAAAAAH4Hs/UbfKJ61d3v8/s400/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
LISSA ALIMFAHAMISHA MHARIRI WAKE JUU YA TAARIFA HIZO, AMBAPO MHARIRI ALIMTAKA KUFUATILIA TUKIO HILO.
MWANDISHI HUYO ALIONDOKA OFISINI SAA 2:50 ASUBUHI MPAKA KINONDONI...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FTcFE3HmyhI/Voz0CwxtfWI/AAAAAAAIQy0/mbKyUVVF_ko/s72-c/index.png)
MWANDISHI UHURU AJITOSA UENEZI MKOA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FTcFE3HmyhI/Voz0CwxtfWI/AAAAAAAIQy0/mbKyUVVF_ko/s200/index.png)
Mdoe ambaye amewahi kuwamjumbe wa baraza la vijana wilaya ya Arusha na mjumbe wa kamati mbalimbali zamaadhimisho ya sherehe mbalimbali za chama amesema amejitokeza kuwania nafasihiyo kutokana na msukumo wa fani...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FIxEaWdQ_xc/VmbaA2of3RI/AAAAAAAIK9o/aAxjK3IopGA/s72-c/AhxkvK1N06fKMFqELXoXGiWC3eZkwaWLcexyz4QD9ff6.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Jul
Gazeti la Mawio na mwandishi wake Jabir wadaiwa fidia bil.2/-
MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Peter Keasi, amefungulia shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo, Jabir Idrissa, akidai fidia ya Sh billioni mbili kwa madai ya kukashifiwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania