UHURU PUBLICATIONS LIMITED YALIA NA CHADEMA KWA KUPIGWA MWANDISHI WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bi3Np4G-cUk/VfNIpEv-vnI/AAAAAAAH4Hs/UbfKJ61d3v8/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
LEO ASUBUHI, MWANDISHI AMBAYE PIA NI MPIGAPICHA WA MAGAZETI YA UHURU, MZALENDO NA BURUDANI YANAYOCHAPISHWA NA KAMPUNI YA UHURU PUBLICATIONS, CHRISTOPHER LISSA, ALIPATA TAARIFA ZA MAANDAMANO YA WALIOTAJWA KUWA WAFUASI WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) WALIOKUWA WAMEKUSUDIA KUANDAMANA KWENDA MAKAO MAKUU YA CHAMA CHAO.
LISSA ALIMFAHAMISHA MHARIRI WAKE JUU YA TAARIFA HIZO, AMBAPO MHARIRI ALIMTAKA KUFUATILIA TUKIO HILO.
MWANDISHI HUYO ALIONDOKA OFISINI SAA 2:50 ASUBUHI MPAKA KINONDONI...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Erick Kabendera: Amnesty Inernational, CPJ wakosoa namna mwandishi wa Tanzania alivyopata uhuru wake
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Nape amaliza mgogoro wa wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto), akigana na wafanyakazi wa kampuni ya Uhuru Publications Ltd (UPL), inayochapicha magazeti ya Uhuru na Mzalendo waliofika kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya mazungumzo naye na baadae kuapata muafaka kufuatia mgogoro uliokuwa ukifukuta katika kampuni hiyo.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (wa pili kushoto), akifurahia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tI8sp3cuZQM/VY1gsbDqo8I/AAAAAAABzLg/9P7k1Ucpm3g/s72-c/1.jpg)
NAPE AMALIZA MGOGORO WA WAFANYAKAZI WA UHURU PUBLICATIONS LTD LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-tI8sp3cuZQM/VY1gsbDqo8I/AAAAAAABzLg/9P7k1Ucpm3g/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lyx9pJueghE/VY1gupTg5AI/AAAAAAABzLo/qcvLOuQJdyU/s640/2.jpg)
9 years ago
Habarileo15 Sep
Wahariri walaani mwandishi kupigwa
JUKWAA la Wahariri Nchini (TEF), limewataka wanahabari kuwa makini na maisha yao wakati huu wa mchakato wa uchaguzi sambamba na kulaani kitendo cha vijana wa Chadema cha kumshambulia na kumpiga mwandishi wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Christopher Lissa.
10 years ago
GPLKADA WA CHADEMA AUAWA KWA KUPIGWA MSHALE WA TUMBONI
10 years ago
StarTV16 Dec
Mfuasi CHADEMA afariki kwa kupigwa jembe kichwani
Na Shaabani Alley
Shinyanga
Mkazi wa Halmashauri ya wilaya ya Ushetu wilayani Kahama ambaye ni mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA amefariki kwa kupigwa jembe kichwani na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM wakati akishangilia ushindi wa chama chake.
Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi Justus Kamugisha alisema tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya kuvuruga uchaguzi huo.
Hata hivyo Kamanda Kamugisha...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
CHADEMA Songea yalia ubadhirifu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Ruvuma, kimeitupia lawama Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa kwa kushindwa kumsaidia Rais Jakaya Kikwete katika kuwafichua na...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
CHADEMA yalia ‘faulo’ Nyasa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedai kimebaini hujuma mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa na sehemu mbalimbali kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa...
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
CHADEMA yalia rafu serikali za mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (CHADEMA), kimelia kufanyiwa fitna mbalimbali ili kukifanya kisishiriki ipasavyo uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 4 mwaka huu. Kati ya mbinu hizo...