CHADEMA yalia ‘faulo’ Nyasa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedai kimebaini hujuma mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa na sehemu mbalimbali kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
CHADEMA Songea yalia ubadhirifu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Ruvuma, kimeitupia lawama Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa kwa kushindwa kumsaidia Rais Jakaya Kikwete katika kuwafichua na...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
CHADEMA Mbeya yalia mchezo mchafu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya mjini, kimefichua siri ya mbinu na mikakati michafu ya kisiasa inayoratibiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kuhakikisha idadi kubwa ya...
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
CHADEMA yalia rafu serikali za mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (CHADEMA), kimelia kufanyiwa fitna mbalimbali ili kukifanya kisishiriki ipasavyo uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 4 mwaka huu. Kati ya mbinu hizo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bi3Np4G-cUk/VfNIpEv-vnI/AAAAAAAH4Hs/UbfKJ61d3v8/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
UHURU PUBLICATIONS LIMITED YALIA NA CHADEMA KWA KUPIGWA MWANDISHI WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bi3Np4G-cUk/VfNIpEv-vnI/AAAAAAAH4Hs/UbfKJ61d3v8/s400/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
LISSA ALIMFAHAMISHA MHARIRI WAKE JUU YA TAARIFA HIZO, AMBAPO MHARIRI ALIMTAKA KUFUATILIA TUKIO HILO.
MWANDISHI HUYO ALIONDOKA OFISINI SAA 2:50 ASUBUHI MPAKA KINONDONI...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Olaba: Mbeya City nguvu, faulo tupu
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Uamsho yalia na Lukuvi
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
LHRC yalia na Sitta
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hellen Kijo-Bisimba.
Na Mwandishi wetu
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Spika wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, kuacha kutaka kuwaziba midomo wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na vyombo vya habari kwa kuwa kufanya hivyo ni kukiuka misingi ya demokrasia na utawala wa kisheria.
Hayo yamo katika taarifa ya kituo hicho iliyosomwa mbele ya waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa mchakato wa utungaji wa katiba...
9 years ago
Habarileo28 Sep
Simba ‘yalia’ na mwamuzi
UONGOZI wa timu ya Simba umemlalamikia mwamuzi Israel Nkongo aliyechezesha mechi yake ya Ligi Kuu bara dhidi ya Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita ukidai hakutenda haki. Mbali na madai hayo, Simba pia imemlalamikia mchezaji wa Yanga Donald Ngoma kwa kumpiga kichwa mchezaji wao Hassan Kessy.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s72-c/sumatra.jpg)
SUMATRA yalia na wanasiasa
NA MOHAMMED ISSA
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imesema tatizo la usafiri wa pikipiki nchini linachangiwa na utashi wa kisiasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s1600/sumatra.jpg)
Mbali na hilo, imesema asilimia 99 ya watoa huduma ya usafiri wa pikipiki, hawana leseni na kwamba, hawana elimu ya usafiri.
Imesema kutokana na hali hiyo, hivi karibuni itaanza kutoa elimu nchi mzima na haitatoa leseni ya usafiri wa pikipiki kwa...