Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamsho yalia na Lukuvi

Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki), imemtumia barua Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kueleza masikitiko yake kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kuwa inahusika na vitendo vya uvunjifu wa amani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

LHRC yalia na Sitta

Bisimba-1024x683

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hellen Kijo-Bisimba.

Na Mwandishi wetu

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Spika wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, kuacha kutaka kuwaziba midomo wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na vyombo vya habari kwa kuwa kufanya hivyo ni kukiuka misingi ya demokrasia na utawala wa kisheria.

Hayo yamo katika taarifa ya kituo hicho iliyosomwa mbele ya waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa mchakato wa utungaji wa katiba...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

SUMATRA yalia na wanasiasa


NA MOHAMMED ISSA
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imesema tatizo la usafiri wa pikipiki nchini linachangiwa na utashi wa kisiasa.
Pia imesema ajali za pikipiki zimekuwa tishio na kwamba zimekuwa zikiongezeka siku hadi siku.
Mbali na hilo, imesema asilimia 99 ya watoa huduma ya usafiri wa pikipiki, hawana leseni na kwamba, hawana elimu ya usafiri.
Imesema kutokana na hali hiyo, hivi karibuni itaanza kutoa elimu nchi mzima na haitatoa leseni ya usafiri wa pikipiki kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Simba ‘yalia’ na mwamuzi

UONGOZI wa timu ya Simba umemlalamikia mwamuzi Israel Nkongo aliyechezesha mechi yake ya Ligi Kuu bara dhidi ya Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita ukidai hakutenda haki. Mbali na madai hayo, Simba pia imemlalamikia mchezaji wa Yanga Donald Ngoma kwa kumpiga kichwa mchezaji wao Hassan Kessy.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CCM yalia na watumishi wahujumu



Na Ahmed Makongo, Bunda CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimesema baadhi ya watumishi wa serikali mkoani humo, wanaihujumu serikali pamoja na ilani ya uchaguzi ya Chama. Katika madai yake hayo, CCM imesema watumishi hao wanafanya hivyo kwa kutokuwajibika ipasavyo katika kutekeleza majukumu yao ikiwa pamoja na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, alitoa shutuma hizo kwa nyakati na maeneo tofauti, wakati...

 

10 years ago

Tanzania Daima

KNCU yalia na ofisi ya Mrajisi

CHAMA Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU), kimeishutumu ofisi ya Mrajisi wa vyama vya ushirika nchini kikidai ni kikwazo katika ustawi wa ushirika kutokana na kuyumba katika utoaji wa uamuzi. Shutuma hizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Babati yalia utekelezaji bajeti

HALMASHAURI ya Wilaya ya Babati, mkoani Manyara inakabiliwa na changamoto ya utekelezaji wa ukusanyaji wa mapato ya zaidi ya sh bil. 31 kwa bajeti ya mwaka 2013/2014 kutoka katika vyanzo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yalia ‘faulo’ Nyasa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedai kimebaini hujuma mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa na sehemu mbalimbali kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa...

 

10 years ago

Michuzi

SHIWATA YALIA KUMPOTEZA AMIGOLAS


MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA)unaungana na watanzania kuomboleza kifo cha mwanamuziki maarufu Hamisi Kayumbu 'Amigolas' aliyefariki Jumapili na kuzikwa Jumatatu iliyopita katika makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana Dar es Salaam kuwa marehemu Amigolas atakumbukwa kwa mengi aliyoyafanya akiwa mwanachama wa mtandao huo alishiriki kutafuta eneo la makazi ya wasanii ya kijiji cha Mwanzega na shamba la wasanii lililopo Ngarambe wilaya...

 

10 years ago

Dewji Blog

SIKIKA yalia na deni la MSD

L;L;;PO

Mkurugenzi Mtendaji wa Sikika, Irenei Kiria, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam.

Na Mwandishi wetu

MKURUGENZI Mtendaji wa Sikika, Irenei Kiria, amesema taasisi hiyo imesikitishwa na taarifa kuwa vituo vya kutolea huduma ya afya nchini vinakabiliwa na uhaba wa dawa na vifaatiba.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Kiria, alisema upungufu huo unasemekana umekuwa ukiwaathiri zaidi wananchi wasiokuwa na bima za afya.

Alisema uhaba huo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani