LHRC yalia na Sitta
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hellen Kijo-Bisimba.
Na Mwandishi wetu
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Spika wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, kuacha kutaka kuwaziba midomo wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na vyombo vya habari kwa kuwa kufanya hivyo ni kukiuka misingi ya demokrasia na utawala wa kisheria.
Hayo yamo katika taarifa ya kituo hicho iliyosomwa mbele ya waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa mchakato wa utungaji wa katiba...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
LHRC yamtahadharisha Sitta
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kutotumia vibaya kifungu kilichompa nguvu ya kuongeza muda bila kikomo, kwani kunaweza kulifanya...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Uamsho yalia na Lukuvi
9 years ago
Habarileo28 Sep
Simba ‘yalia’ na mwamuzi
UONGOZI wa timu ya Simba umemlalamikia mwamuzi Israel Nkongo aliyechezesha mechi yake ya Ligi Kuu bara dhidi ya Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita ukidai hakutenda haki. Mbali na madai hayo, Simba pia imemlalamikia mchezaji wa Yanga Donald Ngoma kwa kumpiga kichwa mchezaji wao Hassan Kessy.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s72-c/sumatra.jpg)
SUMATRA yalia na wanasiasa
NA MOHAMMED ISSA
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imesema tatizo la usafiri wa pikipiki nchini linachangiwa na utashi wa kisiasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s1600/sumatra.jpg)
Mbali na hilo, imesema asilimia 99 ya watoa huduma ya usafiri wa pikipiki, hawana leseni na kwamba, hawana elimu ya usafiri.
Imesema kutokana na hali hiyo, hivi karibuni itaanza kutoa elimu nchi mzima na haitatoa leseni ya usafiri wa pikipiki kwa...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
CHADEMA Songea yalia ubadhirifu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Ruvuma, kimeitupia lawama Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa kwa kushindwa kumsaidia Rais Jakaya Kikwete katika kuwafichua na...
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
CCM yalia na watumishi wahujumu
Na Ahmed Makongo, Bunda CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimesema baadhi ya watumishi wa serikali mkoani humo, wanaihujumu serikali pamoja na ilani ya uchaguzi ya Chama. Katika madai yake hayo, CCM imesema watumishi hao wanafanya hivyo kwa kutokuwajibika ipasavyo katika kutekeleza majukumu yao ikiwa pamoja na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, alitoa shutuma hizo kwa nyakati na maeneo tofauti, wakati...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
CHADEMA yalia ‘faulo’ Nyasa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedai kimebaini hujuma mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa na sehemu mbalimbali kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa...
10 years ago
Mwananchi22 Nov
TRA yalia na misamaha ya kodi
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Bohumata yalia ufinyu wa bajeti
BODI ya Huduma za Maktaba Tanzania (Bohumata), inakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa bajeti pamoja na upungufu wa waandishi wa vitabu kutoka nchini. Mkuu wa Kitengo cha Mipango wa bodi...