Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LHRC yamtahadharisha Sitta

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kutotumia vibaya kifungu kilichompa nguvu ya kuongeza muda  bila kikomo, kwani kunaweza kulifanya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

LHRC yalia na Sitta

Bisimba-1024x683

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hellen Kijo-Bisimba.

Na Mwandishi wetu

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Spika wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, kuacha kutaka kuwaziba midomo wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na vyombo vya habari kwa kuwa kufanya hivyo ni kukiuka misingi ya demokrasia na utawala wa kisheria.

Hayo yamo katika taarifa ya kituo hicho iliyosomwa mbele ya waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa mchakato wa utungaji wa katiba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukawa yamtahadharisha JK, NEC

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umemtahadharisha Rais Jakaya Kikwete na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC)  Jaji Damian Lubuva, kuepusha shari kwa kuboresha daftari la wapiga kura kabla ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yamtahadharisha Lowassa staili ya kampeni zake

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtahadharisha mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema Edward Lowassa kuwa kampeni alizoanza kwa kuyatembelea makundi kadhaa zinaweza kutumiwa na maadui wa kisiasa kumdhuru.

 

10 years ago

Backed Civic Poll Monitors

LHRC spreads out ICT


IPPmedia
LHRC spreads out ICT-backed civic poll monitors
IPPmedia
The Legal and Human Rights Centre (LHRC) has introduced a new program, identified as Information and Communication Technology (ICT) Election Monitoring for effectively monitoring and assessing the coming local government elections. LHRC has ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mikutano ya LHRC yazuiwa Kilimanjaro

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imesimamisha kwa muda usiojulikana mikutano iliyokuwa ikifanywa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu rasimu ya Pili ya Katiba...

 

11 years ago

Daily News

LHRC wants changes to Katiba review law


Daily News
LHRC wants changes to Katiba review law
Daily News
THE Legal and Human Rights Centre (LHRC) has urged the Attorney General (AG) to consider amending all ambiguous sections in the Constitutional Review Act, especially the one pertaining to presidential powers. Speaking to journalists, LHRC Director of ...
Activists say JK has powers to call off Constitutional AssemblyIPPmedia

all 2

 

10 years ago

IPPmedia

Why LHRC deplores child marriage.


Why LHRC deplores child marriage.
IPPmedia
A Dar es Salaam based Legal and Human Rights Centre (LHRC) has condemned child marriage in the country asking relevant ministries to deal with it ruthlessly. In its report released recently, LHRC says marriage done to girls below 18 years in unethical ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LHRC yatakiwa kuilipa Dowans

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kinatakiwa kulipa gharama sh bilioni 2.8 kwa ajili ya kufidia gharama za uendeshaji kesi iliyofungua dhidi ya kampuni ya Dowans. Akizungumza na...

 

10 years ago

TheCitizen

Anudo’s father in LHRC plea

The fate of the nationality dispute involving Mr Anudo Ochieng is now in the hands of legal experts after his father presented documents to the Legal and Human Rights Centre (LHRC) yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani