Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa yamtahadharisha JK, NEC

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umemtahadharisha Rais Jakaya Kikwete na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC)  Jaji Damian Lubuva, kuepusha shari kwa kuboresha daftari la wapiga kura kabla ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

LHRC yamtahadharisha Sitta

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kutotumia vibaya kifungu kilichompa nguvu ya kuongeza muda  bila kikomo, kwani kunaweza kulifanya...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa, NEC hapatoshi leo

SLAANa Arodia Peter, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) pamoja na vyama vya siasa, leo wanatarajia kukutana katika kikao cha pamoja ambacho kinaweza kuibua hoja kali kutoka miongoni mwa wadau.
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa Bunge uliotolewa Februari 4, mwaka huu baada ya Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili kuweza kujadili hatua ya NEC kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia...

 

10 years ago

Mwananchi

NEC wataka JWTZ, Ukawa wapinga

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imetaka uboreshwaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura usimamiwe na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa: NEC inatuvurugia mipango majimboni

>Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ameishukia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kushindwa kutangaza mgawanyo wa majimbo, akisema kuchelewa huko kunavuruga mipango yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yamtahadharisha Lowassa staili ya kampeni zake

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtahadharisha mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema Edward Lowassa kuwa kampeni alizoanza kwa kuyatembelea makundi kadhaa zinaweza kutumiwa na maadui wa kisiasa kumdhuru.

 

10 years ago

IPPmedia

UKAWA wants sharing of BVR data base with NEC.


UKAWA wants sharing of BVR data base with NEC.
IPPmedia
An appeal has been made for the National Electoral Commission to share the Biometric Voters Registration (BVR) database with political parties. The appeal was made yesterday, a day after the NEC said that the October 25 General Election would be free.

 

10 years ago

Vijimambo

Kauli ya Ukawa kususia uchaguzi yaishtua Nec.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeshtushwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kwamba watasusia uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Hata hivyo, Nec imetetea kauli iliyotolewa Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya Mgombea urais ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, kwamba CCM haitakubali kuiachia Ikulu Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian...

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Dewji Blog

UKAWA watoa tamko la kutokubaliana na matokeo ya Urais yanayotolewa na NEC

Edward-Lowassa-1

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.

Ifuatayo ni taarifa aliyoisoma masaa machache yaliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Ndugu waandishi wa habari;

Tumewaita hapa kuwaomba muwaeleze Watanzania wenzetu, jumuiya ya kimataifa na marafiki zetu wengine wa ndani na nje, kwamba hatukubaliani na matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, yanayoendelea kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani