Ukawa yamtahadharisha JK, NEC
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umemtahadharisha Rais Jakaya Kikwete na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC) Jaji Damian Lubuva, kuepusha shari kwa kuboresha daftari la wapiga kura kabla ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
LHRC yamtahadharisha Sitta
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kutotumia vibaya kifungu kilichompa nguvu ya kuongeza muda bila kikomo, kwani kunaweza kulifanya...
10 years ago
Mtanzania12 Feb
Ukawa, NEC hapatoshi leo
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) pamoja na vyama vya siasa, leo wanatarajia kukutana katika kikao cha pamoja ambacho kinaweza kuibua hoja kali kutoka miongoni mwa wadau.
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa Bunge uliotolewa Februari 4, mwaka huu baada ya Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili kuweza kujadili hatua ya NEC kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
NEC wataka JWTZ, Ukawa wapinga
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Ukawa: NEC inatuvurugia mipango majimboni
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Polisi yamtahadharisha Lowassa staili ya kampeni zake
10 years ago
IPPmedia01 Oct
UKAWA wants sharing of BVR data base with NEC.
IPPmedia
An appeal has been made for the National Electoral Commission to share the Biometric Voters Registration (BVR) database with political parties. The appeal was made yesterday, a day after the NEC said that the October 25 General Election would be free.
10 years ago
Vijimambo25 Sep
Kauli ya Ukawa kususia uchaguzi yaishtua Nec.

Hata hivyo, Nec imetetea kauli iliyotolewa Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya Mgombea urais ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, kwamba CCM haitakubali kuiachia Ikulu Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
UKAWA watoa tamko la kutokubaliana na matokeo ya Urais yanayotolewa na NEC
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.
Ifuatayo ni taarifa aliyoisoma masaa machache yaliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Ndugu waandishi wa habari;
Tumewaita hapa kuwaomba muwaeleze Watanzania wenzetu, jumuiya ya kimataifa na marafiki zetu wengine wa ndani na nje, kwamba hatukubaliani na matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, yanayoendelea kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),...