Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA wants sharing of BVR data base with NEC.


UKAWA wants sharing of BVR data base with NEC.
IPPmedia
An appeal has been made for the National Electoral Commission to share the Biometric Voters Registration (BVR) database with political parties. The appeal was made yesterday, a day after the NEC said that the October 25 General Election would be free.

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZA (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO

Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali wa ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Gabriel Madebe akifungua semina ya wadau ya uhamasishaji wa matumizi takwimu za kilimo zinazopatikana kupitia Kanzi rasmi ya takwimu za kilimo inayopatikana katika anwani ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya www.nbs.go.tz leo jijini Dar es salaam. Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani (FAO) Bi. Julia Stone akizungumza na wadau mbalimbali wakati wa semina ya uhamasishaji wa matumizi ya Kanzi ya takwimu za Kilimo nchini...

 

10 years ago

GPL

NBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZI (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO

Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali wa ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Gabriel Madebe akifungua semina ya wadau ya uhamasishaji  wa matumizi takwimu za kilimo zinazopatikana kupitia Kanzi rasmi ya takwimu za kilimo inayopatikana katika  anwani ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya leo jijini Dar es salaam. Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani (FAO) Bi. Julia Stone… ...

 

9 years ago

GPL

NEC: VIFAA BVR FEKI

Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima. Siku moja baada ya kunaswa mashine zilizosadikiwa kuwa ni za uandikishaji wapiga kura kwa njia ya kielektroniki (BVR), zilizokuwa zikiandikisha wafanyakazi wa Kiwanda cha MM Steel jijini Dar es Salaam, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeibuka na kueleza kuwa mashine hizo ni 'feki' na wala hazihusiani kwa namna yoyote na vifaa vyao.   Jaji mstaafu Damian Lubuva akizungumza na viongozi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

NEC itathmini uandikishaji wa BVR

Lawama na vurugu za shughuli za uandikishaji wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura, vinazidi kupamba moto siku hadi siku.

 

10 years ago

TheCitizen

Keep off BVR, NEC tells politicians

Morogoro/Arusha. The National Electoral Commission has warned politicians against interfering in voter registration in their areas.

 

10 years ago

TheCitizen

NEC yet to receive BVR kits

The National Electoral Commission (NEC) has yet to receive nearly 8,000 biometric voter registration kits (BVRs) ahead of the start of registration on February 16.

 

10 years ago

Daily News

NEC given funds for more BVR kits


NEC given funds for more BVR kits
Daily News
THE National Electoral Commission (NEC) has received 70 per cent of funds it needs for buying 8,000 Biometric Voter Registration (BVR) kits, Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, said on Tuesday. “The government had disbursed 70 per cent of the required ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

NEC irekebishe kasoro hizi BVR

JANA, wananchi wa Dar es Salaam walianza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na mingine inayokuja miaka ijayo.

Hata hivyo, tumesikitishwa na baadhi ya matukio yaliyotokea katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza na kusababisha usumbufu na madhara yasiyo na sababu.

Kwanza, kumekuwapo na matatizo ya vifaa vyenyewe vya kuandikishia ambapo kuna watu walifika vituoni mapema na...

 

9 years ago

Habarileo

NEC yakanusha tuhuma kuhusu BVR

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema tuhuma zilizotolewa, zinazodai kuna uandikishaji wa wapiga kura kwa mashine za BVR, unaofanyika katika eneo la viwanda Mikocheni jijini Dar es Salaam, hazina ukweli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani