NBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZA (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-9FDYYUVJyPY/VCVtHhnnAgI/AAAAAAAGl_U/_aQCc-QcOwk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali wa ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Gabriel Madebe akifungua semina ya wadau ya uhamasishaji wa matumizi takwimu za kilimo zinazopatikana kupitia Kanzi rasmi ya takwimu za kilimo inayopatikana katika anwani ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya www.nbs.go.tz leo jijini Dar es salaam.
Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani (FAO) Bi. Julia Stone akizungumza na wadau mbalimbali wakati wa semina ya uhamasishaji wa matumizi ya Kanzi ya takwimu za Kilimo nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mClk6LlNRytRPC1UnR-6DIjjFcUluCX9lyG-v00ccuj6lf82YSoREKcZ-NXeD1hVuIE3lrzyElV6gfry0R4F9syGBSSF7r7r/Photo1.jpg)
NBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZI (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Serikali yasisitiza matumizi ya takwimu sahihi
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini.
Na Aron Msigwa
SERIKALI imetoa wito kwa watafiti na wataalam kutoka vyuo vikuu, taasisi za elimu na mashirika binafsi kushiriki kikamilifu kuhamasisha jamii...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-27x6KcTgjRg/VOYTPCei3wI/AAAAAAAHEms/TEZMvGCtRpk/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali yasisitiza uwazi katika Takwimu
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote”.
Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam
SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NBDEX_QDOBM/VHcbf0BxbxI/AAAAAAACTgU/_YUzxBQmKPg/s640/Takwimu%2B-3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yL0rTbWDqLc/VHcbcCgXeXI/AAAAAAACTgM/lo5nyLcx3cg/s640/Takwimu-%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-coo8fizGrms/VHc5uFEMqvI/AAAAAAAGzz0/QEwvexxv_gU/s1600/Takwimu-%2B2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Wadau wahimizwa kutumia kanza ya chakula na kilimo
OFISI ya Taifa ya Takwimu imewataka watunga sera, taasisi, mashirika na wadau mbalimbali wa maendeleo kuitumia kanza (Data base), rasmi ya takwimu za chakula na kilimo iliyoanzishwa kwa lengo la...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LMG7M6ZgU5s/UwXRtWDIeKI/AAAAAAAFORc/8O2VISEN85c/s72-c/IMG_3359.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA SEMINA KWA WAHARIRI WA HABARI JUU YA KANZA INAYOONESHA VIASHIRIA VYA KIUCHUMI NA KIJAMII
Watanzania wameshauriwa kutumia kanza inayoonesha viashiria vya kiuchumi na kijamii (Tanzania Social Economic Database -TSED) ili kurahisisha upataji wa taarifa pindi wanapokuwa katika kazi zao za kila siku.
Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari katika washa ya siku moja iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu leo jijini Dar es salaam, Meneja wa Teknojia ya habari na Masoko Bi. Mwanaidi Mahiza amesema kuwa TSED inasaidia kupata taarifa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6oG9bjCE3fWcwO04g8ju*0jiExi8GrQtSNo7Oud50cBR9FSN0pHlhpDUwbCUXXv3ku0Fvc7UEhg2dsqWT5cD3No/NBS1.jpg?width=650)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAWASILISHA MPANGO MKAKATI WA TAKWIMU ZA KILIMO KWA WADAU.