NAPE AMALIZA MGOGORO WA WAFANYAKAZI WA UHURU PUBLICATIONS LTD LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-tI8sp3cuZQM/VY1gsbDqo8I/AAAAAAABzLg/9P7k1Ucpm3g/s72-c/1.jpg)
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto), akigana na wafanyakazi wa kampuni ya Uhuru Publications Ltd (UPL), inayochapicha magazeti ya Uhuru na Mzalendo waliofika kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya mazungumzo naye na baadae kuapata muafaka kufuatia mgogoro uliokuwa ukifukuta katika kampuni hiyo.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (wa pili kushoto), akifurahia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Nape amaliza mgogoro wa wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto), akigana na wafanyakazi wa kampuni ya Uhuru Publications Ltd (UPL), inayochapicha magazeti ya Uhuru na Mzalendo waliofika kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya mazungumzo naye na baadae kuapata muafaka kufuatia mgogoro uliokuwa ukifukuta katika kampuni hiyo.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (wa pili kushoto), akifurahia...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-L8wQDi80vHY/VY1qKVhi8BI/AAAAAAAAfwY/JvpAFYoRhp8/s72-c/1.jpg)
NAPE AMALIZA MGOGORO GAZETI LA UHURU
![](http://3.bp.blogspot.com/-L8wQDi80vHY/VY1qKVhi8BI/AAAAAAAAfwY/JvpAFYoRhp8/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2nkwK8mJ-uw/VY1rl-YMaAI/AAAAAAAAfxI/k9V4B7i8Wyw/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bi3Np4G-cUk/VfNIpEv-vnI/AAAAAAAH4Hs/UbfKJ61d3v8/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
UHURU PUBLICATIONS LIMITED YALIA NA CHADEMA KWA KUPIGWA MWANDISHI WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bi3Np4G-cUk/VfNIpEv-vnI/AAAAAAAH4Hs/UbfKJ61d3v8/s400/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
LISSA ALIMFAHAMISHA MHARIRI WAKE JUU YA TAARIFA HIZO, AMBAPO MHARIRI ALIMTAKA KUFUATILIA TUKIO HILO.
MWANDISHI HUYO ALIONDOKA OFISINI SAA 2:50 ASUBUHI MPAKA KINONDONI...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qZ8dx2iYFlk/VnFJfqEaF5I/AAAAAAAIMv0/w5W8aYAaICY/s72-c/nape%2B1.jpg)
WAZIRI NAPE NNAUYE AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WA TBC OFISINI KWAKE LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-qZ8dx2iYFlk/VnFJfqEaF5I/AAAAAAAIMv0/w5W8aYAaICY/s640/nape%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H2tFC6qW-hE/VnFJf6BWQxI/AAAAAAAIMv4/FzSNiLy0e9s/s640/nape%2B3.jpg)
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Nyalandu amaliza mgogoro Mbarali
NA ELIUD NGONDO, MBEYA
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu karibu miaka 10 wilayani Mbarali, mkoani Mbeya.
Mgogoro huo unahusisha wakazi wa vijiji 21 waliotakiwa kuondolewa kwa madai ya kuvamia eneo la Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.
Nyalandu, ambaye yuko ziarani mkoani Mbeya, jana alizungumza na wananchi na kuwahakikishia kuwa Serikali haiwezi kuwaacha wakiangamia.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na wakazi zaidi ya 15,000,...
10 years ago
Habarileo14 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro wa ardhi Chasimba, mwekezaji
HATIMAYE Serikali imekata mzizi wa fitina kwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliokuwepo baina ya wakazi wa Chasimba na mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Wazo Hill, kwa kuirudisha ardhi hiyo kwa wananchi.
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Lukuvi amaliza mgogoro mji mpya Kigamboni
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ametegua kitendawili kuhusu hatima ya madai ya wananchi katika mradi wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.
Lukuvi amesema kutokana na hali hiyo kuanzia sasa kila mwananchi mwenye kiwanja au nyumba yake atalazimika kuuza kiwanja chake kwa bei anayoitaka au kujenga nyumba kwa mujibu wa ramani ya mji mpya
Akizungumza na wananchi hao juzi katika mkutano uliofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Kumbukumbu ya...
5 years ago
MichuziNaibu Waziri Nyongo amaliza mgogoro kwenye machimbo ya madini Handeni.
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akizungumza na wananchi kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020.
Wananchi wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (hayupo pichani) kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020 .
Mmoja wa wananchi wa eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Maziku amaliza mgogoro wa Nyalandu na wenzake, waendelea na mchakato kuomba kura kwa wananchi
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza mgogoro wa wagombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini.
Katibu wa CCM Mkoa wa Singida, Mary Maziku akiwa ofisini kwake.
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini, Jastine Monko akizungumza na waandishi wa habari nje ya jengo la CCM Mkoa wa Singida baada ya kumaliza tofauti zao.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari nje ya viwanja vya CCM Mkoa wa...