Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania journalist Erick Kabendera freed after seven months

Erick Kabendera had been charged with money laundering, tax evasion and leading organised crime.

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Erick Kabendera: Mwanahabari mpekuzi wa Tanzania aachiwa huru

Mwandishi wa masuala ya uchunguzi nchini Tanzania Eric Kabendera ameachiliwa huru baada ya kuzuiliwa mahabusu kwa miezi sita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Erick Kabendera: Amnesty Inernational, CPJ wakosoa namna mwandishi wa Tanzania alivyopata uhuru wake

Mashtaka dhidi ya Kabendera yanakosolewa kuwa ya kisiasa na wanaharakati

 

5 years ago

CCM Blog

ERICK KABENDERA AACHIWA HURU

  Mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini Sh100 milioni baada kukiri kosa la  utakatishaji fedha na pia kulipa faini ya Sh. 250,000 au kwenda jela miezi mitatu kwa kukiri kukwepa kodi, pamoja na fidia ya shilingi milioni 172. 
Mapema leo, Kabendera aliyekuwa akikabiliwa na makosa matatu, alifutiwa kosa lake alilokuwa akidaiwa Kuongoza Genge la Uhalifu.
Hukumu imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega baada ya Kabendera kusota korokoroni tangu alipofikishwa...

 

5 years ago

Michuzi

MWANDISHI ERICK KABENDERA AHUKUMIWA KULIPA SHILINGI MILIONI 273, MAHAKAMA YAMUACHIA HURU

Na Karama Kenyunko Globu ya Jamii

MWANDISHI maarufu wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini na Fidia ya jumla ya sh. Milioni 273 baada ya kukiri makosa ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi.
Aidha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Kabendera kulipa faini ya sh.250,000 ama kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela baada ya kukiri kosa la kukwepa kodi huku pia akifutiwa kosa la kuongoza genge la uhalifu.

Hata hivyo mshtakiwa Kabendera ameishalipa Sh. Milioni 100 na...

 

5 years ago

Michuzi

UDHURU WA HAKIMU ANAYESIKILIZA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MWANDISHI ERICK KABENDERA WAKWAMISHA MAJADILIANO MAHAKAMANI

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Februari 17 mwaka  2020 imeshindwa kuendelea na makubaliano katika kesi a Uhujumu Uchumi inayomkabili  Mwandishi wa Habari Erick Kabendera kwa sababu Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amepata udhuru.
Kwa mujibu wa ratiba ya kesi hiyo leo ilitegemewa kuwa ni hatma ya mwisho ya Kabendera kusota rumande tangu alipopandishwa kizimbani Agosti 5,mwaka  2019 baada ya kuingia makubaliano na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini...

 

10 years ago

Channel 24

Photo journalist wins the CNN MultiChioce African Journalist Awards 2014


Channel 24
Photo journalist wins the CNN MultiChioce African Journalist Awards 2014
Channel 24
Dar es Salaam – Kenyan photo journalist Joseph Mathenge was announced the winner of the CNN MultiChoice African Journalist Awards 2014. It is the first time a photo journalist won this competition – for his work capturing arresting images of the horrific ...
Prize-winning journalist for joint war on terrorismIPPmedia
Africa's Press Freedom Improving - KikweteAllAfrica.com
Kenyans Shine At CNN AwardsThe...

 

9 years ago

BBC

Trapped Tanzania gold miners freed

Five gold miners are rescued in western Tanzania after being trapped underground for 41 days, surviving on roots and soil, police say.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Convicted Poachers Freed On Appeal in Tanzania


Convicted Poachers Freed On Appeal in Tanzania
AllAfrica.com
A Tanzanian appeals court has ordered the release of two convicted poachers from jail and overturned their conviction on two of four counts, Tanzania's Daily News reported Monday (April 21st). Emanuel Saguda, also known as Sulukuka, and Sahili ...
Appeal Court frees alleged poachersDaily News

all 5

 

9 years ago

GhanaWeb

Tanzania: ruling party axe journalist for biased coverage


GhanaWeb
Tanzania: ruling party axe journalist for biased coverage
GhanaWeb
Chama Cha Mapinduzi has asked a Mwananchi Communications Limited (MCL) journalist embedded in Dr John Magufuli's campaign entourage to leave, apparently over claims of unfavourable coverage of the party's presidential candidate. Mr Peter Elias ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani