Erick Kabendera: Mwanahabari mpekuzi wa Tanzania aachiwa huru
Mwandishi wa masuala ya uchunguzi nchini Tanzania Eric Kabendera ameachiliwa huru baada ya kuzuiliwa mahabusu kwa miezi sita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ERICK KABENDERA AACHIWA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mapema leo, Kabendera aliyekuwa akikabiliwa na makosa matatu, alifutiwa kosa lake alilokuwa akidaiwa Kuongoza Genge la Uhalifu.
Hukumu imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega baada ya Kabendera kusota korokoroni tangu alipofikishwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI ERICK KABENDERA AHUKUMIWA KULIPA SHILINGI MILIONI 273, MAHAKAMA YAMUACHIA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI maarufu wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini na Fidia ya jumla ya sh. Milioni 273 baada ya kukiri makosa ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi.
Aidha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Kabendera kulipa faini ya sh.250,000 ama kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela baada ya kukiri kosa la kukwepa kodi huku pia akifutiwa kosa la kuongoza genge la uhalifu.
Hata hivyo mshtakiwa Kabendera ameishalipa Sh. Milioni 100 na...
5 years ago
BBC24 Feb
Tanzania journalist Erick Kabendera freed after seven months
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Erick Kabendera: Amnesty Inernational, CPJ wakosoa namna mwandishi wa Tanzania alivyopata uhuru wake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M1H3UsFGAdk/XkqwSddvUbI/AAAAAAALdyM/p8ei9Wv1pBoPq8ktQFnvbREuXHa6wIZ9ACLcBGAsYHQ/s72-c/f8ad07c9-6b32-41d8-9279-969ede15e2a8.jpg)
UDHURU WA HAKIMU ANAYESIKILIZA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MWANDISHI ERICK KABENDERA WAKWAMISHA MAJADILIANO MAHAKAMANI
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Februari 17 mwaka 2020 imeshindwa kuendelea na makubaliano katika kesi a Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwandishi wa Habari Erick Kabendera kwa sababu Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amepata udhuru.
Kwa mujibu wa ratiba ya kesi hiyo leo ilitegemewa kuwa ni hatma ya mwisho ya Kabendera kusota rumande tangu alipopandishwa kizimbani Agosti 5,mwaka 2019 baada ya kuingia makubaliano na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Mtuhumiwa aachiwa huru
11 years ago
Habarileo30 Jan
Kibanda aachiwa huru
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam imemwachia huru aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na wenzake baada ya kuwaona hawana hatia katika mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yanawakabili.
11 years ago
Habarileo06 Jun
Mbunge aachiwa huru
MBUNGE wa Ukerewe, mkoani Mwanza, Salvatory Machemli ameachiwa huru na Mahakama baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yakimkabili.
10 years ago
Habarileo18 Jul
Aachiwa huru, akamatwa tena
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemuachia huru, Samwel Meshack baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuleta mashahidi kuthibitisha tuhuma za wizi zilizokuwa zikimkabili.