Gazeti la Mawio na mwandishi wake Jabir wadaiwa fidia bil.2/-
MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Peter Keasi, amefungulia shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo, Jabir Idrissa, akidai fidia ya Sh billioni mbili kwa madai ya kukashifiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLGAZETI LA MAWIO KIKAANGONI
11 years ago
Habarileo09 Jun
Gazeti la Mawio labanwa
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya AP Media & Consult Ltd, Peter Keasi ametaka gazeti la Mawio limlipe Sh bilioni mbili kama fidia, kwa kile anachodai kuchapisha habari ambazo zimesababisha kushuka kwa hadhi yake na ya kampuni na hivyo kumwathiri kibiashara.
11 years ago
MichuziGazeti la Mawio lapelekwa mahakamani
10 years ago
StarTV30 Dec
Udanganyifu wadaiwa kuchelewesha malipo ya fidia.
Na Jumanne Ntono,
Mara.
Serikali imesema kampuni ya kuchimba madini ya dhahabu ya ACACIA iliyopo Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara imechelewa kulipa fidia ya maeneo na majengo ya wananchi yaliyofanyiwa tathimini.
Ni kutokana na udanganyifu mkubwa uliofanywa na wananchi, wathamini wa Serikali wasio waaminifu na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo waliotaka malipo yao yaongezeke zaidi.
Hayo yalielezwa na waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo katika kijiji cha...
11 years ago
MichuziWAZIRI MUHONGO AHOJIWA NA MWANDISHI WA GAZETI LA THE NEW AUSTRALIAN
“Serikali ya Tanzania imejipanga vipi katika kuhakikisha gesi asili inayoendelea kugunduliwa nchini inakuwa yenye manufaa kwa nchi?” Ndivyo anavyouliza Mwandishi huyo “Moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha asilimia 75 ya Watanzania wanapata umeme wa...
10 years ago
GPLMWANDISHI WA UJERUMANI ALIFAGILIA GAZETI LA ‘UWAZI’
10 years ago
Habarileo10 Sep
IPTL yamdai Zitto fidia bil.500/-
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakimtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe awalipe fidia ya Sh bilioni 500 kutokana na kutoa kashfa dhidi yao.
11 years ago
Habarileo17 May
Bil.6.8/-kutumika kulipa fidia Makambako hadi Songea
SERIKALI imetenga zaidi ya Sh bilioni 6.8 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi walioko kandokando mwa barabara kuu kutoka Makambako hadi Songea.
11 years ago
BBCSwahili14 May
Samsung kuwalipa fidia wafanyakazi wake