IPTL yamdai Zitto fidia bil.500/-
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakimtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe awalipe fidia ya Sh bilioni 500 kutokana na kutoa kashfa dhidi yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii10 Sep
IPTL yamdai Zitto bilioni 500/- kortini
11 years ago
Habarileo17 May
Bil.6.8/-kutumika kulipa fidia Makambako hadi Songea
SERIKALI imetenga zaidi ya Sh bilioni 6.8 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi walioko kandokando mwa barabara kuu kutoka Makambako hadi Songea.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni
11 years ago
Habarileo21 Jul
Gazeti la Mawio na mwandishi wake Jabir wadaiwa fidia bil.2/-
MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Peter Keasi, amefungulia shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo, Jabir Idrissa, akidai fidia ya Sh billioni mbili kwa madai ya kukashifiwa.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Miradi ya BRN yatafuna bil. 500/-
SERIKALI imetumia zaidi ya sh bilioni 500 kwa ajili ya utekeleaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika kipindi cha Julai hadi Desemba, 2013. Hayo yalisemwa jana na kiongozi...
10 years ago
Mtanzania24 Nov
Saa za waliochota Sh bil 321 IPTL zahesabika
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kila aliyehusika katika kashfa ya uchotwaji wa Sh bilioni 321 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), abebe msalaba wake bila kujali cheo chake na kwamba muda wa kulindana umekwisha.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye walipokuwa wakihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Ilulu...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Serikali yatumia bil. 500/- miradi ya Matokeo Makubwa
SERIKALI imetumia zaidi ya Sh bilioni 500 katika utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika kipindi cha miezi sita, kati ya Julai na Desemba mwaka jana.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ms_DdbXUmnM/U9n7EI9BilI/AAAAAAACmfI/vfN7CCn6KOM/s72-c/1.jpg)
IPTL, Al-Madinah washerehekea sikukuu ya Eid na mayatima 500
![](http://2.bp.blogspot.com/-ms_DdbXUmnM/U9n7EI9BilI/AAAAAAACmfI/vfN7CCn6KOM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gkfZEPsQhY0/U9n7GbSrL6I/AAAAAAACmfU/pYS_Qw24-1I/s1600/3.jpg)
10 years ago
Mtanzania10 Sep
IPTL yamshtaki Zitto
![Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Zitto-Kabwe.jpg)
Zitto Kabwe
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.
Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na Kay Felician Mwesiga...