IPTL yamshtaki Zitto
Zitto Kabwe
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.
Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na Kay Felician Mwesiga...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
IPTL yamburuza Zitto kortini
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Na Mwandishi wetu
KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na wengine wawili wakitaka kulipwa fidia ya shi bilioni 500 kwa kashfa alizotoa kimaandishi dhidi yao.
Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo Septemba 4, kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na Kay Felician Mwesiga wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Mauzo ya IPTL yamwibua Zitto
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, ameeleza kushtushwa na taarifa za mauzo ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kwa Kampuni...
10 years ago
TheCitizen10 Nov
We’re facing threats over IPTL, says Zitto
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Kamati ya Zitto yataka ukaguzi IPTL
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
IPTL, wengine wawili wamburuza Zitto mahakamani
.Wadai fidia ya shilingi bilioni 500
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe na wengine wawili wakitaka kulipwa fidia ya Shilingi bilioni 500 kwa kashfa alizotoa kimaandishi dhidi yao.
Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo mnamo tarehe 4, Septemba kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na Kay...
10 years ago
Habarileo10 Sep
IPTL yamdai Zitto fidia bil.500/-
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakimtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe awalipe fidia ya Sh bilioni 500 kutokana na kutoa kashfa dhidi yao.
10 years ago
For Defamation10 Sep
IPTL, two plaintiffs sue Zitto, seek 500bn/
IPPmedia
Independent Power Tanzania Limited and two other plaintiffs have filed a civil suit at the High Court against Kigoma -North Lawmaker Zitto Kabwe seeking 500bn/- in compensation for defamation. Alongside the firm, other plaintiffs are Pan Africa Power ...
10 years ago
KwanzaJamii10 Sep
IPTL yamdai Zitto bilioni 500/- kortini
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
IPTL majanga, vigogo wa Takukuru kutua kwa Zitto
KASHFA kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh. bilioni 200, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeibua tafrani mpya Bungeni baada ya baadhi ya wabunge kuhoji...