Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IPTL yamburuza Zitto kortini

iptl_1

 

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na wengine wawili wakitaka kulipwa fidia ya shi bilioni 500 kwa kashfa alizotoa kimaandishi dhidi yao.

 Mbali na IPTL,  wengine waliofungua kesi hiyo Septemba 4, kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

KwanzaJamii

IPTL yamdai Zitto bilioni 500/- kortini

Na Karama Kenyunko Wiki chache baada ya kumshtaki Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wenzake wawili, sasa imemgeukia Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe kwa kumfungulia kesi ya madai ya fidia ya Sh. bilioni 500  Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam. IPTL pamoja na wadai wenzake wanaiomba mahakama imwamuru Zitto kulipa fidia hiyo kwa madai ya kutoa kashfa dhidi yao...

 

10 years ago

Mwananchi

Takukuru yamburuza kortini mbunge wa E.A

>Waliokuwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwamo aliyekuwa Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka hiyo ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Bernard Mrunya wamepandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Wilaya ya Karatu kujibu tuhuma mbalimbali zinazowakabili ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka wakati wakiwa watumishi katika mamlaka hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAMBURUZA KORTINI DAKTARI KWA TUHUMA YA RUSHWA

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Singida, Adili Elinipenda, akizungumza na waandishi wa habari.
Na Godwin  Myovela,  Singida.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Mkoa wa Singida imemburuza mahakamani Dkt. Abdul Sewando wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida (Mandewa) akituhumiwa kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mgonjwa kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya Mwaka 2007.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana kwenye ofisi za PCCB, Mkuu wa...

 

9 years ago

GPL

KAFULILA KUBURUZWA KORTINI, KUILIPA IPTL, PAP MIL 100

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila. KAMPUNI ya IPTL pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa PAP Harbinder Sigh Seth, wamemfungulia kesi aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakitaka awalipe shilingi za milioni 100. Wakili aliyefungua kesi hiyo kwa niaba ya mteja wake anasema, wanataka mahakama kumuamuru David Kafulila alipe fedha hizo kwa kuwakashifu kuwa wamechukua fedha...

 

10 years ago

Mtanzania

IPTL yamshtaki Zitto

Zitto Kabwe

Zitto Kabwe

NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini,  Zitto Kabwe (Chadema).

Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.

Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo  Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga...

 

10 years ago

TheCitizen

We’re facing threats over IPTL, says Zitto

Members of Parliament’s Public Accounts Committee (PAC) claim they are being intimidated by powerful politicians with vested interest in the Tegeta escrow account saga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauzo ya IPTL yamwibua Zitto

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, ameeleza kushtushwa na taarifa za mauzo ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kwa Kampuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yataka ukaguzi IPTL

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeagiza ukaguzi maalumu katika uuzaji wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na utoaji wa fedha katika akaunti ya Escrow Benki Kuu Tanzania (BoT).

 

11 years ago

Mwananchi

Uamuzi maombi ya Zitto kortini leo

>Hatima ya maombi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe, itajulikana leo wakati Mahakama Kuu ya Tanzania, katika Kanda ya Dar e s Salaam itakapotoa uamuzi kuhusu maombi hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani