Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAFULILA KUBURUZWA KORTINI, KUILIPA IPTL, PAP MIL 100

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila. KAMPUNI ya IPTL pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa PAP Harbinder Sigh Seth, wamemfungulia kesi aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakitaka awalipe shilingi za milioni 100. Wakili aliyefungua kesi hiyo kwa niaba ya mteja wake anasema, wanataka mahakama kumuamuru David Kafulila alipe fedha hizo kwa kuwakashifu kuwa wamechukua fedha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Magari 100 kuburuzwa kortini Moshi

MAGARI 100 yanayotoa huduma za usafiri kwenye Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, yatafikishwa mahakamani na Kampuni ya Barrack Printers Limited ya mjini Moshi kwa kushindwa kulipa ushuru wa maegesho.

 

10 years ago

Dewji Blog

VODACOM kuburuzwa kortini ni baada ya kushindwa kumlipa Sh.Milioni 100 mshindi wa mchezo wa “Jay Millions”

Danny Paul Njau, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo.

Mshindi wa mchezo wa kubahatisha wa Jay Millions, Danny Paul Njau (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Kampuni ya Simu ya Vodacom kushindwa kumpa zawadi yake ya sh.milioni 100 baada ya kushinda mchezo huo.

Mshindi wa mchezo wa kubahatisha wa Jay Millions, Danny Paul Njau (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Kampuni ya Simu ya Vodacom kushindwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA VODACOM KUBURUZWA KORTINI NI BAADA YA KUSHINDWA KUMLIPA SH.MILIONI 100 MSHINDI WA MCHEZO WA JAY MILLIONS

 Danny Paul Njau, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo. Mshindi wa mchezo wa kubahatisha wa Jay Millions, Danny Paul Njau (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Kampuni ya Simu ya Vodacom kushindwa kumpa zawadi yake ya sh.milioni 100 baada ya kushinda mchezo huo. Mshindi wa mchezo wa kubahatisha wa Jay Millions, Danny Paul Njau (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Kampuni ya Simu ya Vodacom kushindwa kumpa...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI KUBURUZWA KORTINI

Msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui wakati akiwa katika ofisi za kusambaza filamu za Yuneda zilizopo Mbagala. KESI ya msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui ya kufanya fujo ofisini kwa msambazaji wa filamu akidai kutolipwa fedha zake za filamu bado ni ya moto ambapo msambazaji anazungumza na mwanasheria wake kisha kumburuza mwigizaji huyo mahakamani. Chanzo makini kimedai kuwa, baada ya Aisha kulala polisi na kutoka kwa dhamana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

IPTL/PAP yawaonya wanasiasa

KAMPUNI ya IPTL/PAP imewataka wanasiasa kutambua kwamba kampuni hiyo sio mali ya serikali, bali inazalisha na kuuza umeme. Imesema kuendelea kujadili masuala ya ndani ya uendeshaji ikiwemo namna ya kuzalisha...

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL/PAP sponsors Zalendo Games

Zalendo 6

Independent Power Tanzania Limited (IPTL), a subsidiary of Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP) has made it possible for young Tanzanians to showcase their talents in playing unique rare games in Tanzania sports history.

Through its sponsorship to IPTL Zalendo Games, the company helped to bring together the Zalendo teams more specifically the Zalendo Bikers, Zalendo BMX, Zalendo Skaters (forming Tanzania Skate Miracle) and Race car drivers. The four teams had a very thrilling and...

 

11 years ago

TheCitizen

PAP: IPTL takeover was a clean deal

The executive chairman of Pan Africa Power Solutions Ltd (PAP), Mr Harbinder Singh Sethi, has finally come out this week to defend the way his company acquired Independent Power Tanzania Limited (IPTL).

 

10 years ago

Habarileo

IPTL, PAP zapinga Bunge mahakamani

Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Pan AfricaPower Solutions (T) Ltd, Joseph Mwakandege akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la ununuzi wa IPTL. Kushoto ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi. KAMPUNI za Pan Africa Power Solution Tanzania Limited (PAP) na Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Harbinder Singh Sethi, wamefungua kesi ya kikatiba kupinga utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotolewa kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), inayodaiwa kuchotwa zaidi ya Sh bilioni 300.

 

10 years ago

Michuzi

IPTL na PAP zaichangia milioni 10/= kampeni ya Imetosha


Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji ya watu wenye albino. Kushoto ni Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege. Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji ya watu wenye albino. Kushoto ni Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege.
Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam. Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani