AISHA BUI KUBURUZWA KORTINI
Msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui wakati akiwa katika ofisi za kusambaza filamu za Yuneda zilizopo Mbagala. KESI ya msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui ya kufanya fujo ofisini kwa msambazaji wa filamu akidai kutolipwa fedha zake za filamu bado ni ya moto ambapo msambazaji anazungumza na mwanasheria wake kisha kumburuza mwigizaji huyo mahakamani. Chanzo makini kimedai kuwa, baada ya Aisha kulala polisi na kutoka kwa dhamana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
AISHA BUI AJIFUNGUA
11 years ago
GPL
AISHA BUI AZUA TIMBWILI
11 years ago
GPL
AISHA BUI ATAMBIA KAZI YAKE
11 years ago
GPL
AISHA BUI: KUSHINDA MAISHA UWE MKAKAMAVU
11 years ago
GPL
AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI
10 years ago
GPL
MKE: AISHA BUI AMEZAA NA MUME WANGU!
11 years ago
GPL
AISHA BUI ATAJA SABABU YA KUFANYA FUJO
11 years ago
GPL
AISHA BUI: SIKUVUNJA NDOA YA AMINA CHIFUPA!
10 years ago
Habarileo30 May
Magari 100 kuburuzwa kortini Moshi
MAGARI 100 yanayotoa huduma za usafiri kwenye Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, yatafikishwa mahakamani na Kampuni ya Barrack Printers Limited ya mjini Moshi kwa kushindwa kulipa ushuru wa maegesho.