Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AISHA BUI AZUA TIMBWILI

Stori: Waandishi Wetu
Pamechimbika! Staa wa sinema za Kibongo, Aisha Bui amezua timbwili la kufa mtu katika ofisi za kusambaza filamu za Yuneda zilizopo Mbagala jijini Dar baada ya wasambazi hao kushindwa kumlipa kwa wakati. Staa wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akiwaka kwa mmoja wa wahusika wa ofisi za kusambaza filamu za Yuneda, Mbagala. Mtiti huo ulioshuhudiwa na wanahabari wetu ulijiri wikiendi iliyopita, maeneo hayo ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AISHA BUI AJIFUNGUA

Stori: HAMIDA HASSAN STAA wa filamu za Kibongo, Aisha Bui amepata mtoto wa kike aliyejifungua kwa njia ya upasuaji lakini kumekuwa na usiri mkubwa katika jambo hilo. Staa wa filamu za Kibongo, Aisha Bui. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aisha alisema anamshukuru Mungu kwa kumjaalia mtoto wa kike aliyempa jina la Saloma. “Nimefurahi sana, kumpata mtoto ni jambo la kumshukuru Mungu na sasa najisikia raha sana kuitwa...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI KUBURUZWA KORTINI

Msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui wakati akiwa katika ofisi za kusambaza filamu za Yuneda zilizopo Mbagala. KESI ya msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui ya kufanya fujo ofisini kwa msambazaji wa filamu akidai kutolipwa fedha zake za filamu bado ni ya moto ambapo msambazaji anazungumza na mwanasheria wake kisha kumburuza mwigizaji huyo mahakamani. Chanzo makini kimedai kuwa, baada ya Aisha kulala polisi na kutoka kwa dhamana...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI ATAMBIA KAZI YAKE

Stori: Mwandishi Wetu
WAKATI filamu yake ya Mshale wa Kifo ikiingia mtaani, Aisha Fathi ‘Aisha Bui’ amesema kazi yake hiyo itadhihirisha uwezo alionao kwani hata wazo la kuandika simulizi hiyo ni lake mwenyewe. Msanii wa Muvi Bongo, ‘Aisha Bui’ akipozi. “Najua kila mtu ana uwezo wake, lakini unaweza kushindwa kufanya hivyo kwa sababu ya kukosa nafasi, ndiyo maana mimi nimeamua kutumia kampuni...

 

10 years ago

GPL

MKE: AISHA BUI AMEZAA NA MUME WANGU!

Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha
MAJANGA! Mwanamke aliyejitambulisha kuwa ni mke wa ndoa wa jamaa aliyemtaja kwa jina la Ally Msangi, Rosita Yashira ameibuka na madai mazito kuwa staa wa filamu za Kibongo, Aisha Bui eti amezaa na mumewe huyo. Akizungumza kwa njia ya mtandao wa kijamii wa WhatsApp akiwa nchini Peru barani Asia, mwanamke huyo alisema kwamba Aisha amemwibia mumewe huyo ambaye amemtelekeza na watoto wawili...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI

Stori: Imelda Mtema UREMBO! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui anahaha huku na kule kusaka dawa ya kuondoa makovu yaliyotokea katika baadhi ya maeneo ya mwili wake.Akizungumza na mwandishi wetu, Aisha alisema makovu hayo aliyapata hivi karibuni alipokuwa akicheza sinema iliyomtaka agalegale chini porini. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akipozi. “Unajua filamu ni kitu ambacho kipo moyoni na nilitaka...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI: KUSHINDA MAISHA UWE MKAKAMAVU

Stori: Mwandishi Wetu MWIGIZAJI wa filamu anayekuja juu nchini, Aisha Bui, amesema ili kuyashinda maisha magumu Bongo, ni lazima uwe mkakamavu, kama yeye alivyolazimika kwenda kutengeneza filamu yake mpya ya Mshale wa Kifo, katika msitu wa kutisha ili kwenda tofauti na wengine. Mwigizaji wa filamu anayekuja juu nchini, Aisha Bui. “Nilijitoa maisha yangu kwa kuingia msituni kutengeneza filamu ya mapigano porini, kutafuta...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI: SIKUVUNJA NDOA YA AMINA CHIFUPA!

WIKI iliyopita tuliwadondoshea staa wa sinema za Kibongo, Aisha Bui ambaye mlimbananisha na kwa maswali kibao ambayo wiki hii anayajibu.
UNGANA NAYE… Staa wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akipozi. ANASUBIRI NINI KUOLEWA?
Dada Aisha nasikia hujaolewa, unasubiri nini, ona umri unasonga? Dismas, Lindi, 0782713879
AISHA BUI: Kuolewa ni uamuzi hivyo bado sijaamua. KUHUSU MPAKANJIA
Aisha mimi nilitaka kujua ile miaka ya...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI ATAJA SABABU YA KUFANYA FUJO

Stori: Imelda Mtema STAA wa sinema za Kibongo, Aisha Bui amefunguka kuwa hivi karibuni aliangusha timbwili la kufa mtu kudai fedha zake za filamu aliyocheza kwa sababu fedha aliyotumia kuandaa filamu hiyo hakuhongwa na mwanaume. Staa wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akiwa katika ofisi za kusambazia filamu za Yuneda, Mbagala jijini Dar.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Aisha  ambaye alianzisha timbwili katika ofisi za...

 

10 years ago

GPL

CHUCHU AZUA TIMBWILI BARABARANI

Stori: Imelda Mtema NI mkalia nyonga wa Vincent Kigosi ‘Ray’, Chuchu Hancy amezua timbwili la aina yake barabarani baada ya kukimbiza gari la msanii aitwaye Ester Kiama akijua ni gari la ‘bebi’ wake. Baby wa Vincent Kigosi ‘Ray’, Chuchu Hancy. Timbwili hilo lilitokea juzikati maeneo ya Kinondoni jijini Dar ambapo msichana huyo alikuwa akiendesha gari hilo aina ya Mark X nyeusi ambalo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani