Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauzo ya IPTL yamwibua Zitto

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, ameeleza kushtushwa na taarifa za mauzo ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kwa Kampuni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

IPTL yamshtaki Zitto

Zitto Kabwe

Zitto Kabwe

NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini,  Zitto Kabwe (Chadema).

Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.

Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo  Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga...

 

10 years ago

TheCitizen

We’re facing threats over IPTL, says Zitto

Members of Parliament’s Public Accounts Committee (PAC) claim they are being intimidated by powerful politicians with vested interest in the Tegeta escrow account saga.

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL yamburuza Zitto kortini

iptl_1

 

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na wengine wawili wakitaka kulipwa fidia ya shi bilioni 500 kwa kashfa alizotoa kimaandishi dhidi yao.

 Mbali na IPTL,  wengine waliofungua kesi hiyo Septemba 4, kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yataka ukaguzi IPTL

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeagiza ukaguzi maalumu katika uuzaji wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na utoaji wa fedha katika akaunti ya Escrow Benki Kuu Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL, wengine wawili wamburuza Zitto mahakamani

iptl_1

.Wadai fidia ya shilingi bilioni 500

Na Mwandishi Wetu

Kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe na wengine wawili wakitaka kulipwa fidia ya Shilingi bilioni 500 kwa kashfa alizotoa kimaandishi dhidi yao.

Mbali na IPTL,  wengine waliofungua kesi hiyo mnamo tarehe 4, Septemba kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay...

 

10 years ago

Habarileo

IPTL yamdai Zitto fidia bil.500/-

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakimtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe awalipe fidia ya Sh bilioni 500 kutokana na kutoa kashfa dhidi yao.

 

10 years ago

For Defamation

IPTL, two plaintiffs sue Zitto, seek 500bn/


IPTL, two plaintiffs sue Zitto, seek 500bn/- for defamation
IPPmedia
Independent Power Tanzania Limited and two other plaintiffs have filed a civil suit at the High Court against Kigoma -North Lawmaker Zitto Kabwe seeking 500bn/- in compensation for defamation. Alongside the firm, other plaintiffs are Pan Africa Power ...

 

10 years ago

KwanzaJamii

IPTL yamdai Zitto bilioni 500/- kortini

Na Karama Kenyunko Wiki chache baada ya kumshtaki Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wenzake wawili, sasa imemgeukia Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe kwa kumfungulia kesi ya madai ya fidia ya Sh. bilioni 500  Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam. IPTL pamoja na wadai wenzake wanaiomba mahakama imwamuru Zitto kulipa fidia hiyo kwa madai ya kutoa kashfa dhidi yao...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani