Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udanganyifu wadaiwa kuchelewesha malipo ya fidia.

Na Jumanne Ntono,

Mara.

 

Serikali imesema kampuni ya kuchimba madini ya dhahabu ya ACACIA iliyopo Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara imechelewa kulipa fidia ya maeneo na majengo ya wananchi yaliyofanyiwa tathimini.

 

Ni kutokana na udanganyifu mkubwa uliofanywa na wananchi, wathamini wa Serikali wasio waaminifu na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo waliotaka malipo yao yaongezeke zaidi.

 

Hayo yalielezwa na waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo katika  kijiji cha...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Malipo ya fidia yawatoa machozi wananchi Dar

>Wananchi wa Mji Mpya Majohe, Guluka Kwalala na Ulongoni katika Manispaa ya Ilala  wameiomba Serikali kuingilia kati na kumwamuru mwekezaji wa ujenzi wa njia ya umeme wa  kilovoti 220 kutoka Somanga Mtama  mpaka Kinyerezi, Kilwa Enegy kuwalipa gharama zinazoendana na hali ya maisha ya sasa.

 

11 years ago

Habarileo

Gazeti la Mawio na mwandishi wake Jabir wadaiwa fidia bil.2/-

MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Peter Keasi, amefungulia shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo, Jabir Idrissa, akidai fidia ya Sh billioni mbili kwa madai ya kukashifiwa.

 

5 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DKT. MPANGO KWENYE HAFLA YA KUPOKEA SEHEMU YA MALIPO YA FIDIA LEO JIJINI DODOMA




Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya...

 

10 years ago

StarTV

Rais Nigeria akana kuchelewesha uchaguzi.

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amekana kwamba alishauriwa kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais nchini humo siku ya jumamosi.

Maafisa wa uchaguzi walichukua hatua hiyo kufuatia ushauri wa wasiwasi wa maafisa wa usalama kuhusu mashambulizi ya wapiganaji wa Boko Haram kazkazini mashariki alisema.

Kucheleweshwa kwa uchaguzi kwa kipindi cha wiki moja sio kitu kikubwa alisema katika rininga ya taifa hilo.

cialis nitrato

Upinzani unadai kwamba bwana Johnathan alilazimisha uchaguzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Rais akana kuchelewesha uchaguzi

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amekana kwamba alishauriwa kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi wa urais

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kiir augua na kuchelewesha mazungumzo

Mkutano wa viongozi wa kikanda ulioandaliwa kujadili mgogoro wa mwaka mmoja unaotokota Sudan Kusini, umecheleweshwa baada ya Rais Kiir kuugua

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Mkuu Chande awaonya mawakili kuchelewesha kesi

Katika kuhakikisha kuwa Mahakama inafikia lengo lake la kupunguza msongamano wa kesi mahakamani, Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amewatahadharisha mawakili kuhusu ucheleweshaji wa kesi pasipo sababu za msingi.

 

11 years ago

Habarileo

Tanesco lawamani kwa kuchelewesha haki ya mtumishi wake

HASSAN Jambia mfanyakazi wa zamani wa Shirika la umeme aliyeachishwa kazi na baadaye akashinda kesi amelilalamikia Shirika la Umeme (Tanesco) kwa kugoma kumlipa fedha zake licha ya kushinda kesi katika mahakama zote.

 

10 years ago

StarTV

Serikali lawamani kuchelewesha ugawaji viwanja kwa waathirika wa mafuriko.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

Zaidi ya waathirika 200 wa mafuriko yaliyotokea Januari mwaka jana wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kupima na kuwagawia viwanja kwa wakati hali ambayo imewafanya washindwe kujenga makazi ya kudumu na kuondokana na adha ya kukaa kwenye mahema ambayo sasa yamechakaa.

 

Malalamiko hayo yanakuja kutokana na mvua kuanza kunyesha wakati mahema yakiwa yamechanika na mvua kuwanyeshea hali ambayo inawafanya waishi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani