Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco lawamani kwa kuchelewesha haki ya mtumishi wake

HASSAN Jambia mfanyakazi wa zamani wa Shirika la umeme aliyeachishwa kazi na baadaye akashinda kesi amelilalamikia Shirika la Umeme (Tanesco) kwa kugoma kumlipa fedha zake licha ya kushinda kesi katika mahakama zote.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Serikali lawamani kuchelewesha ugawaji viwanja kwa waathirika wa mafuriko.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

Zaidi ya waathirika 200 wa mafuriko yaliyotokea Januari mwaka jana wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kupima na kuwagawia viwanja kwa wakati hali ambayo imewafanya washindwe kujenga makazi ya kudumu na kuondokana na adha ya kukaa kwenye mahema ambayo sasa yamechakaa.

 

Malalamiko hayo yanakuja kutokana na mvua kuanza kunyesha wakati mahema yakiwa yamechanika na mvua kuwanyeshea hali ambayo inawafanya waishi katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Tajiri adaiwa kumng’ata, kumchoma pasi mtumishi wake kwa miaka mitatu

Mfanyakazi wa ndani, Yusta Lucas (20) amekumbana na masahibu yanayofanana na yale ya mtoto Nasra Mvungi (4) aliyekuwa amefungiwa kwenye boksi kwa miaka karibu minne huko Morogoro. Huyu amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam akiuguza majeraha yanayotokana na kuteswa na kufungiwa ndani kwa miaka mitatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanesco lawamani ,yakata umeme bila taarifa

Tatizo la kukatika kwa umeme, imekuwa kero katika maeneo mbalimbali ya nchi na lawama nyingi zimekuwa zikielekezwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kujifanya mtumishi wa serikali

MFANYABIASHARA Selemani Musa (46) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kwa tuhuma za kujifanya mtumishi wa Serikali. Karani Katherine Maduhu alidai mbele ya Hakimu Mwajuma Diwani kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Novemba 20, mwaka jana Mtaa wa Msimbazi Kariakoo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mtumishi wa ndani ajiua kwa khanga

Mtumishi wa kazi za ndani aliyejulikana kwa jina la Rehema,  amekutwa amekufa kwa kujinyonga kwa khanga chumbani kwake kwenye nyumba ya mwajiri wake katika Mtaa wa Ngazengwa, Kata ya Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro.

 

11 years ago

Habarileo

Mtumishi wa NMB Songea ajinyonga kwa shuka gesti

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert KiondoWATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga, akiwemo mfanyakazi wa benki ya NMB Tawi la Songea, Wilhelim Swai (37) ambaye amejinyonga kwa kutumia shuka katika nyumba ya kulala wageni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtumishi NMB kortini kwa wizi wa Sh1 bilioni

Mtumishi wa Benki ya NMB, Mtoro Suleiman na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kuiibia benki hiyo zaidi ya Sh1 bilioni na kutakatisha fedha haramu.

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi lawamani kwa kutoa viza

>Wahalifu wa dawa za kulevya nchini wamedaiwa kuwatumia maofisa wa balozi zilizopo nchini kujipatia viza kirahisi kama njia mbadala ya kuendelea kufanya biashara hiyo haramu.

 

11 years ago

Mwananchi

TZ, Kenya lawamani kwa kukwamisha biashara A.Mashariki

 Tanzania na Kenya zinakwamisha kuanza kazi kwa Kituo cha pamoja cha Mpakani (OSBP) cha Holili wilayani Rombo, ambapo ujenzi wake ulikamilika tangu Desemba mwaka jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani