Tanesco lawamani kwa kuchelewesha haki ya mtumishi wake
HASSAN Jambia mfanyakazi wa zamani wa Shirika la umeme aliyeachishwa kazi na baadaye akashinda kesi amelilalamikia Shirika la Umeme (Tanesco) kwa kugoma kumlipa fedha zake licha ya kushinda kesi katika mahakama zote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV10 Jan
Serikali lawamani kuchelewesha ugawaji viwanja kwa waathirika wa mafuriko.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Zaidi ya waathirika 200 wa mafuriko yaliyotokea Januari mwaka jana wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kupima na kuwagawia viwanja kwa wakati hali ambayo imewafanya washindwe kujenga makazi ya kudumu na kuondokana na adha ya kukaa kwenye mahema ambayo sasa yamechakaa.
Malalamiko hayo yanakuja kutokana na mvua kuanza kunyesha wakati mahema yakiwa yamechanika na mvua kuwanyeshea hali ambayo inawafanya waishi katika...
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Tajiri adaiwa kumng’ata, kumchoma pasi mtumishi wake kwa miaka mitatu
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Tanesco lawamani ,yakata umeme bila taarifa
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kizimbani kwa kujifanya mtumishi wa serikali
MFANYABIASHARA Selemani Musa (46) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kwa tuhuma za kujifanya mtumishi wa Serikali. Karani Katherine Maduhu alidai mbele ya Hakimu Mwajuma Diwani kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Novemba 20, mwaka jana Mtaa wa Msimbazi Kariakoo.
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mtumishi wa ndani ajiua kwa khanga
11 years ago
Habarileo03 Aug
Mtumishi wa NMB Songea ajinyonga kwa shuka gesti
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga, akiwemo mfanyakazi wa benki ya NMB Tawi la Songea, Wilhelim Swai (37) ambaye amejinyonga kwa kutumia shuka katika nyumba ya kulala wageni.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mtumishi NMB kortini kwa wizi wa Sh1 bilioni
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Balozi lawamani kwa kutoa viza
11 years ago
Mwananchi01 Apr
TZ, Kenya lawamani kwa kukwamisha biashara A.Mashariki