Mtumishi NMB kortini kwa wizi wa Sh1 bilioni
Mtumishi wa Benki ya NMB, Mtoro Suleiman na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kuiibia benki hiyo zaidi ya Sh1 bilioni na kutakatisha fedha haramu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
11 years ago
Habarileo03 Aug
Mtumishi wa NMB Songea ajinyonga kwa shuka gesti
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga, akiwemo mfanyakazi wa benki ya NMB Tawi la Songea, Wilhelim Swai (37) ambaye amejinyonga kwa kutumia shuka katika nyumba ya kulala wageni.
10 years ago
Habarileo02 Jul
Kortini kwa wizi wa mil 37.5/-
MFANYABIASHARA Ally Salehe (37) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi akiwa mtumishi.
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Kortini kwa wizi, utakatishaji fedha
NA FURAHA OMARY
MFANYAKAZI wa Benki ya CRDB, Telesphory Gura (43), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kumwibia mwajiri wake sh. milioni 241 na kutakatisha fedha haramu.
Gura, mkazi wa Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam, alifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Frank Moshi.
Wakili wa Serikali, Genes Tesha, alimsomea Gura mashitaka matano ya wizi wa sh. 241,163,668 na ya kutakatisha fedha zaidi ya sh....
10 years ago
Habarileo07 Sep
Diwani kortini akituhumiwa kwa wizi
ALIYEWAHI kuwa Diwani Kata ya Utemini mjini Singida, Charles Masinga amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida kwa tuhuma za kumwibia mwajiri wake bidhaa mbalimbali zenye thamani ya Sh milioni 60.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
MTUMISHI WA BENKI YA BOA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA SABA YA WIZI, UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qoBytkvHX7c/XrP591TREOI/AAAAAAALpZQ/catm5v4ZwykIX_SiMoj5Sa3sqGUU9NvwACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.08.48%2BPM.jpeg)
Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali Mwandamizi Anna Chimpaye amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kuwa mshtakiwa ametenda makosa ya wizi akiwa mtumishi katika tarehe tofauti tofauti kuanzia Januari 2017 hadi Novemba...
10 years ago
MichuziNMB Yaidhinisha Shilingi Bilioni 52 kama gawio kwa wanahisa wake
Gawio hilo ni kutokana na faida ya shilingi Bilioni 156 baada ya kodi iliyopatikana kwa mwaka 2014. Faida hiyo na gawio lililoidhinishwa ni Faraja kwa wanahisa wanaojivunia benki bora yenya matawi mengi kuliko benki yoyote Tanzania ikiwa na matawi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Benki ya NMB yatoa mkopo wa Shilingi bilioni 3 kwa wakulima wa muhogo Handeni
![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-13-1.jpg)
NMB yawezesha Kilimo cha katani nchini, yatoa shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya matrekta
![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s640/4-13-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-13-1.jpg)