Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni

Watuhumiwa sita katika kashfa ya upotevu wa zaidi ya Sh1.3 bilioni kati ya Sh1.5 bilioni zilizotolewa na Wizara ya Chakula, Kilimo na Ushirika kwa ajili ya usambazaji wa pembejeo za kilimo wilayani hapa juzi walipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtumishi NMB kortini kwa wizi wa Sh1 bilioni

Mtumishi wa Benki ya NMB, Mtoro Suleiman na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kuiibia benki hiyo zaidi ya Sh1 bilioni na kutakatisha fedha haramu.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi 3 kortini kwa upotevu wa SMG 8

ASKARI Polisi watatu wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) mkoani Tabora, wamefikishwa mahakamani, akiwemo mkuu wa kikosi hicho, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Bhoke Julius Bruno.

 

9 years ago

StarTV

Tanzania kuanza uchunguzi wa upotevu wa sh. bilioni 13dhidi ya Stanbic

Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza uchunguzi dhidi ya Benki ya Stanbic ya Tanzania na wahusika wa kashfa ya upotevu wa zaidi ya shilingi Bilioni 13 zilizoongezeka kama ada ya benki hiyo ya kukusanya fedha kutoka benki mbalimbali ukiwa ni mkopo ambao Serikali ya Tanzania ilikuwa ikiuhitaji wa Dola Milioni 600 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Fedha hizo ambazo ni sawa na shilingi Trilioni 1.3 zilikuwa ni mkopo kwa ajili ya miradi hiyo kwa mwaka wa fedha 2012/13 ambapo iliitumia benki hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

Vigogo sita wa Halotel kizimbani kwa utakatishaji na kuisababishia TCRA hasara ya Sh. Bilioni 78.

Na Karama Kenyunko globu ya jamii.

MKURUGENZI wa Kampuni ya Halotel Son Nguyen (46), na vigogo wengine watano wa Viettel Tanzania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka 10 yakiwemo ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 78

Washtakiwa wengine ni Nguyen Minh (40) na Vu Tiep Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) wa Halotel, Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Vigogo CCM wamechota Sh1.2 mradi bomba la gesi

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewatuhumu vigogo wa Serikali kwa ufisadi wa Dola 600 milioni za Marekani, sawa na Sh1.2 trilioni walizotumia katika mradi wa ujenzi wa Bomba la Gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA

Na Karama Kenyunko- Michuzi TV

MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.

Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge akiri kupokea Sh1.6 bilioni

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amekiri mbele ya Baraza la Maadili kupokea Sh1.6 bilioni kutoka Kampuni ya VIP Enginering and Marketing Limited, zikiwa ni malipo ya kutoa ushauri.

 

11 years ago

Mwananchi

Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara imesema inaudai mgodi wa North Mara, unaomilikiwa na African Barrick Gold, dola 800,000 za Kimarekani (sawa na Sh1.28 bilioni za Kitanzania).

 

9 years ago

Mwananchi

Mitambo ya Sh1.2 bilioni yazua balaa

Kikao cha wadau wa barabara mkoani Geita, kimelazimika kusitishwa kwa muda kwa ajili ya kwenda kukagua mitambo ya ujenzi iliyonunuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani