Chenge akiri kupokea Sh1.6 bilioni
Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amekiri mbele ya Baraza la Maadili kupokea Sh1.6 bilioni kutoka Kampuni ya VIP Enginering and Marketing Limited, zikiwa ni malipo ya kutoa ushauri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_4Z2Rnkp98c/VcSoM6GniyI/AAAAAAABTPw/9hjY2t19pgo/s72-c/chenge.jpg)
MBUNGE ANDREW CHENGE, AKIRI KUPOKEA TSH 1.6 BILIONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_4Z2Rnkp98c/VcSoM6GniyI/AAAAAAABTPw/9hjY2t19pgo/s400/chenge.jpg)
Pia, alihoji kama kuna tatizo kutumia taaluma yake ya sheria kuzishauri kampuni binafsi na kujipatia fedha.Chenge ambaye alitoa utetezi wake jana saa 7:30 mchana, alisema hakulipwa fedha hizo kwa sababu ni kiongozi wa umma, bali kwa kutoa ushauri.Alisema aliingia mkataba na kampuni hiyo wa kutoa ushauri...
10 years ago
TheCitizen07 Aug
Chenge says sh1.6Bn was for work as consultant
Salaam. Bariadi West MP Andrew Chenge (CCM) yesterday defended himself before the Ethics Tribunal against accusations he received Sh1.6 billion from James Rugemalira’s VIP Engineering and Marketing Limited in violation of the code of ethics for public leaders
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Samatta kulamba Sh1.6 bilioni Ulaya
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta yuko mbioni kujiunga na klabu ya Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), Lllle kwa Euro 700,000, sawa na (Sh1,611,675,675.99 za Tanzania.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni
Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara imesema inaudai mgodi wa North Mara, unaomilikiwa na African Barrick Gold, dola 800,000 za Kimarekani (sawa na Sh1.28 bilioni za Kitanzania).
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mitambo ya Sh1.2 bilioni yazua balaa
Kikao cha wadau wa barabara mkoani Geita, kimelazimika kusitishwa kwa muda kwa ajili ya kwenda kukagua mitambo ya ujenzi iliyonunuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita.
9 years ago
Mwananchi09 Dec
‘Sh1.6 bilioni idaiwe wizara siyo TFF’
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeambiwa iikabe koo Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo kuhusu fedha za kodi ya makocha wa kigeni badala ya kulibebesha mzigo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Auswa yaidai Serikali, wananchi Sh1.2 bilioni
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (Auswa), inaidai Serikali na taasisi zake kiasi cha Sh1.2 bilioni.
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
Watuhumiwa sita katika kashfa ya upotevu wa zaidi ya Sh1.3 bilioni kati ya Sh1.5 bilioni zilizotolewa na Wizara ya Chakula, Kilimo na Ushirika kwa ajili ya usambazaji wa pembejeo za kilimo wilayani hapa juzi walipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo.
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Deni la Sh1.13 bilioni kuziponza Polisi, Magereza
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (Muwsa), imetoa siku 14 kwa taasisi tatu za Serikali mkoani Kilimanjaro, kulipa malimbikizo ya madeni yanayofikia Sh1.13 bilioni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania