Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Deni la Sh1.13 bilioni kuziponza Polisi, Magereza

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (Muwsa), imetoa siku 14 kwa taasisi tatu za Serikali mkoani Kilimanjaro, kulipa malimbikizo ya madeni yanayofikia Sh1.13 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yapunguza deni lake Magereza

Kamishna Jenerali wa Magereza, John MinjaJESHI la Magereza nchini limeipongeza Serikali ya Awamu ya Nne kwa hatua ya kuanza kupunguza deni lake la kiasi cha Sh bilioni tano linalotokana na huduma ya kutoa chakula cha wafungwa Magerezani.

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge akiri kupokea Sh1.6 bilioni

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amekiri mbele ya Baraza la Maadili kupokea Sh1.6 bilioni kutoka Kampuni ya VIP Enginering and Marketing Limited, zikiwa ni malipo ya kutoa ushauri.

 

11 years ago

Mwananchi

Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara imesema inaudai mgodi wa North Mara, unaomilikiwa na African Barrick Gold, dola 800,000 za Kimarekani (sawa na Sh1.28 bilioni za Kitanzania).

 

9 years ago

Mwananchi

Mitambo ya Sh1.2 bilioni yazua balaa

Kikao cha wadau wa barabara mkoani Geita, kimelazimika kusitishwa kwa muda kwa ajili ya kwenda kukagua mitambo ya ujenzi iliyonunuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

 

9 years ago

Mwananchi

Samatta kulamba Sh1.6 bilioni Ulaya

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta yuko mbioni kujiunga na klabu ya Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), Lllle kwa Euro 700,000, sawa na (Sh1,611,675,675.99 za Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni

Watuhumiwa sita katika kashfa ya upotevu wa zaidi ya Sh1.3 bilioni kati ya Sh1.5 bilioni zilizotolewa na Wizara ya Chakula, Kilimo na Ushirika kwa ajili ya usambazaji wa pembejeo za kilimo wilayani hapa juzi walipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe

Uufuta unaonekana kuwa chaguo jipya la wakulima katika baadhi ya maeneo baada ya kubaini kuwa una wateja wengi ndani na nje ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Auswa yaidai Serikali, wananchi Sh1.2 bilioni

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (Auswa), inaidai Serikali na taasisi zake kiasi cha Sh1.2 bilioni.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Sh1.6 bilioni idaiwe wizara siyo TFF’

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeambiwa iikabe koo Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo kuhusu fedha za kodi ya makocha wa kigeni badala ya kulibebesha mzigo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani