‘Sh1.6 bilioni idaiwe wizara siyo TFF’
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeambiwa iikabe koo Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo kuhusu fedha za kodi ya makocha wa kigeni badala ya kulibebesha mzigo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mitambo ya Sh1.2 bilioni yazua balaa
Kikao cha wadau wa barabara mkoani Geita, kimelazimika kusitishwa kwa muda kwa ajili ya kwenda kukagua mitambo ya ujenzi iliyonunuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita.
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Samatta kulamba Sh1.6 bilioni Ulaya
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta yuko mbioni kujiunga na klabu ya Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), Lllle kwa Euro 700,000, sawa na (Sh1,611,675,675.99 za Tanzania.
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Chenge akiri kupokea Sh1.6 bilioni
Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amekiri mbele ya Baraza la Maadili kupokea Sh1.6 bilioni kutoka Kampuni ya VIP Enginering and Marketing Limited, zikiwa ni malipo ya kutoa ushauri.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni
Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara imesema inaudai mgodi wa North Mara, unaomilikiwa na African Barrick Gold, dola 800,000 za Kimarekani (sawa na Sh1.28 bilioni za Kitanzania).
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Deni la Sh1.13 bilioni kuziponza Polisi, Magereza
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (Muwsa), imetoa siku 14 kwa taasisi tatu za Serikali mkoani Kilimanjaro, kulipa malimbikizo ya madeni yanayofikia Sh1.13 bilioni.
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
Watuhumiwa sita katika kashfa ya upotevu wa zaidi ya Sh1.3 bilioni kati ya Sh1.5 bilioni zilizotolewa na Wizara ya Chakula, Kilimo na Ushirika kwa ajili ya usambazaji wa pembejeo za kilimo wilayani hapa juzi walipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Auswa yaidai Serikali, wananchi Sh1.2 bilioni
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (Auswa), inaidai Serikali na taasisi zake kiasi cha Sh1.2 bilioni.
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe
Uufuta unaonekana kuwa chaguo jipya la wakulima katika baadhi ya maeneo baada ya kubaini kuwa una wateja wengi ndani na nje ya nchi.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mtumishi NMB kortini kwa wizi wa Sh1 bilioni
Mtumishi wa Benki ya NMB, Mtoro Suleiman na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kuiibia benki hiyo zaidi ya Sh1 bilioni na kutakatisha fedha haramu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania