Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe
Uufuta unaonekana kuwa chaguo jipya la wakulima katika baadhi ya maeneo baada ya kubaini kuwa una wateja wengi ndani na nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Sh1.5 bil zatumika usajili Bongo
Wakati timu mbalimbali za Ligi Kuu nchini zikiendelea kukamilisha usajili kwa ajili ya kuimarisha vikosi vyao msimu ujao, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa mpaka sasa zaidi ya Sh1.5 bilioni zimetumiwa kwa wachezaji wao.
10 years ago
Habarileo18 Feb
Zatumika bilioni 39/- kukwamua kaya masikini
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Dk Mary Nagu amesema zaidi ya Sh bilioni 39 zimetumika ili kuzikwamua kaya masikini nchini ziweze kundokana na hali hiyo.
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Bilioni 1.7 zatumika kujenga sekondari ya JK Nyerere
Mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s72-c/unnamed.jpg)
BILIONI 1.3 ZATUMIKA KUJENGA MAABARA ZA SAYANSI NA HOSTELI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akizungumza Na Denis Mlowe,Iringa
JUMLA ya sh. bilioni 1.3 zimetumika katika ujenzi wa maabara za sayansi, hosteli za wasichana na chumba cha darasa katika shule za sekondari za Ismani, Nyang’ro na Kalenga zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Akizungumza na wahabari hivi karibuni ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Iringa,Pudenciana Kisaka alisema kuwa halmashauri kupitia idara ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
BILIONI 56 ZATUMIKA KUJENGA STUDIO ZA AZAM TV, RAIS KIKWETE KUZIZINDUA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari, Tabata, Dar es Salaam.
Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SBs9P9S6d5o/XqMJ0TyZgzI/AAAAAAALoHg/vPc1T5L-GrEkivtmRBST74HFRwPWOXZ9ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B8.50.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
BILIONI 27.40 ZATUMIKA KUTOA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-SBs9P9S6d5o/XqMJ0TyZgzI/AAAAAAALoHg/vPc1T5L-GrEkivtmRBST74HFRwPWOXZ9ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B8.50.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imesema kiasi cha Sh Bilioni 27.40 kilitolewa na Halmashauri zote nchini kwa ajili ya mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ikiwa ni asilimia 44 ya bajeti ya wanawake, vijana na wenye ulemavu ambayo ni Sh Bilioni 62.40.
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo imeongoza kutoa mikopo kwa kundi hilo kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Root Capital na Small Foundation ya marekani waliotembelea mradi wa ufuta babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPnUIWS9N1k/UwWjHFggc4I/AAAAAAAFOO4/sDuZQeB2AuI/s1600/unnamed+(43).jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Tarime yaidai Barrick Sh1.2 bilioni
Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara imesema inaudai mgodi wa North Mara, unaomilikiwa na African Barrick Gold, dola 800,000 za Kimarekani (sawa na Sh1.28 bilioni za Kitanzania).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania