Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BILIONI 56 ZATUMIKA KUJENGA STUDIO ZA AZAM TV, RAIS KIKWETE KUZIZINDUA KESHO

JUMLA dola za Kimarekani Milioni 31 (zaidi ya Sh. Bilioni 56 za Tanzania) zimetumika kutengeneza studio mpya za kisasa za Azam TV, zilizopo eneo la Tabata Relini, Dar es Salaam.
Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari, Tabata, Dar es Salaam. 
Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIKWETE KUZINDUA STUDIO ZA AZAM TV KESHO

Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media Group Tido Muhando akiongea mbele ya waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kituo hicho hapo kesho. Mkurugenzi uendeshaji wa vipindi vya Azam TV, Yahaya Mohamed, akifafanua jinsi vipindi vyao vitakavyoboleshwa.…

 

9 years ago

Mwananchi

Bilioni 1.7 zatumika kujenga sekondari ya JK Nyerere

Mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu.

 

10 years ago

Michuzi

BILIONI 1.3 ZATUMIKA KUJENGA MAABARA ZA SAYANSI NA HOSTELI


Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akizungumza Na Denis Mlowe,Iringa
JUMLA ya sh. bilioni 1.3 zimetumika katika ujenzi wa maabara za sayansi, hosteli za wasichana na chumba cha darasa katika shule za sekondari za Ismani, Nyang’ro na Kalenga zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Akizungumza na wahabari hivi karibuni ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Iringa,Pudenciana Kisaka  alisema kuwa halmashauri kupitia idara ya...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI STUDIO MPYA ZA AZAM TV JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara pamoja na uongozi na baadhi ya wafanyakazi wa Azam TV wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam leo Machi 6, 2015.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Naibu Mkurugenzi wa Azam TV Bw. Dunstan Tido Mhando wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete mgeni rasmi uzinduzi wa studio ya Azam Tv

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete leo atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa studio ya kisasa ya Azam Tv itakayojulikana kama Uhai Production iliyopo eneo la Tabata kando ya barabara ya Mandela.

 

10 years ago

Habarileo

Zatumika bilioni 39/- kukwamua kaya masikini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Dk Mary NaguWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Dk Mary Nagu amesema zaidi ya Sh bilioni 39 zimetumika ili kuzikwamua kaya masikini nchini ziweze kundokana na hali hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Milioni 59/- zatumika kujenga nyumba , vyoo Shule ya Munguli

DSC03381 (2)

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida,imetumia zaidi ya shilingi 59 milioni kugharamia ujenzi wa nyumba ya mtumishi,vyoo na ununuzi wa vitanda na magodoro ya shule ya msingi ya bweni, kijiji cha Munguli ambayo ni maalum kwa jamii ya Wahadzabe tu.

Hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo,Bravo Lyapambile,wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe

Uufuta unaonekana kuwa chaguo jipya la wakulima katika baadhi ya maeneo baada ya kubaini kuwa una wateja wengi ndani na nje ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani