Kikwete mgeni rasmi uzinduzi wa studio ya Azam Tv
RAIS Jakaya Kikwete leo atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa studio ya kisasa ya Azam Tv itakayojulikana kama Uhai Production iliyopo eneo la Tabata kando ya barabara ya Mandela.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s72-c/a7.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI STUDIO MPYA ZA AZAM TV JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s1600/a7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HUZpU9i7et4/VPoVk4sn-_I/AAAAAAAHIM0/KwXxvvOPj7o/s1600/a2.jpg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA JUKWAA LA KILIMO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vdgTC6GKh9w/U2EJ2Uy2YPI/AAAAAAAFeKo/j_BGhEeVW7I/s72-c/drbilal(2).jpg)
DKT BILAL MGENI RASMI UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
![](http://1.bp.blogspot.com/-vdgTC6GKh9w/U2EJ2Uy2YPI/AAAAAAAFeKo/j_BGhEeVW7I/s1600/drbilal(2).jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2014, katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, mkoani Kagera Mei tarehe 2. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara wakati akiongea na Waandishi wa Habari Mjini Bukoba kuhusu Mbio hizo.
Mwenge huo utakaobeba ujumbe usemao “Katiba ni Sheria Kuu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xBvNARpZE4Y/VVyhzq9ppKI/AAAAAAAC44A/R3DL7lyThBI/s72-c/unnamed.jpg)
MEMBE MGENI RASMI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARANI AFRIKA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBvNARpZE4Y/VVyhzq9ppKI/AAAAAAAC44A/R3DL7lyThBI/s640/unnamed.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
WAZIRI wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Membe anatarajiwa kuwa mgeni...
10 years ago
MichuziJK MGENI RASMI UZINDUZI WA KITABU CHA HISTORIA YA NCHI “PHOTOGRAPHIC BOOK”
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa mbio za Mwengi wa Uhuru mkoani Ruvuma
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/310.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s72-c/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Ruvuma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s1600/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 ambazo Kitaifa zinafanyika Mkoani Ruvuma.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waizri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wakati wa mazoezi ya ya mwisho yaliyofanyika katika Uwanja wa mpira wa Majimaji mjini Songea.
Waziri Fenella amesema kuwa maandalizi yameenda vizuri na kuwataka wananchi kujitokeza...
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU,MKAPA KUWA MGENI RASMI KATIKA UZINDUZI WA FILAMU “HAMU YA MAFANIKIO”
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s72-c/MAKONDA.jpg)
PAUL MAKONDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA CHAMA CHA WAPISHI WA KEKI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s400/MAKONDA.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini DSM, mwenyekiti wa muda wa umoja huo PHILIP MBONDE amesema umoja huo utaweza kuwaunganisha wapishi wa keki na wanaojishughulisha na biashara ya cake nchini na kuweza kujumuika pamoja katika majukumu mbali mbali.
“ Hili ni jambo jipya hapa nchini, wapo wajasiriamali...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania