Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilioni 1.7 zatumika kujenga sekondari ya JK Nyerere

Mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mgodi wa North Mara watumia Bilioni 1.7 kujenga shule wa sekondari JK Nyerere

unnamed (6)

 Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa Mkoa wa Mara na wale wa Wilaya ya Tarime na wahisani waliojenga Shule ya J.K. Nyerere kukata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Shule hiyo iliyoko katika Kijiji cha Nyamwaga.

unnamed (8)

  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpongeza Ndugu Jimmy Ijumba, Meneja wa ACACIA –North Mara Gold Mine mara baada ya kuzindua rasmi shule hiyo.

unnamed (1)

 Mama Salma Kikwete akifurahia ngoma ya utamaduni na wananchi wa Kijiji cha Nyamwaga kilichoko katika wilaya...

 

10 years ago

Michuzi

BILIONI 1.3 ZATUMIKA KUJENGA MAABARA ZA SAYANSI NA HOSTELI


Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akizungumza Na Denis Mlowe,Iringa
JUMLA ya sh. bilioni 1.3 zimetumika katika ujenzi wa maabara za sayansi, hosteli za wasichana na chumba cha darasa katika shule za sekondari za Ismani, Nyang’ro na Kalenga zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Akizungumza na wahabari hivi karibuni ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Iringa,Pudenciana Kisaka  alisema kuwa halmashauri kupitia idara ya...

 

10 years ago

Michuzi

BILIONI 56 ZATUMIKA KUJENGA STUDIO ZA AZAM TV, RAIS KIKWETE KUZIZINDUA KESHO

JUMLA dola za Kimarekani Milioni 31 (zaidi ya Sh. Bilioni 56 za Tanzania) zimetumika kutengeneza studio mpya za kisasa za Azam TV, zilizopo eneo la Tabata Relini, Dar es Salaam.
Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari, Tabata, Dar es Salaam. 
Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi...

 

10 years ago

Habarileo

Zatumika bilioni 39/- kukwamua kaya masikini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Dk Mary NaguWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Dk Mary Nagu amesema zaidi ya Sh bilioni 39 zimetumika ili kuzikwamua kaya masikini nchini ziweze kundokana na hali hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Milioni 59/- zatumika kujenga nyumba , vyoo Shule ya Munguli

DSC03381 (2)

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida,imetumia zaidi ya shilingi 59 milioni kugharamia ujenzi wa nyumba ya mtumishi,vyoo na ununuzi wa vitanda na magodoro ya shule ya msingi ya bweni, kijiji cha Munguli ambayo ni maalum kwa jamii ya Wahadzabe tu.

Hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo,Bravo Lyapambile,wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe

Uufuta unaonekana kuwa chaguo jipya la wakulima katika baadhi ya maeneo baada ya kubaini kuwa una wateja wengi ndani na nje ya nchi.

 

5 years ago

Michuzi

BILIONI 27.40 ZATUMIKA KUTOA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akiwasilisha taarifa ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa kipindi cha Julai 2019 hadi Machi 2020.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imesema kiasi cha Sh Bilioni 27.40 kilitolewa na Halmashauri zote nchini kwa ajili ya mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ikiwa ni asilimia 44 ya bajeti ya wanawake, vijana na wenye ulemavu ambayo ni Sh Bilioni 62.40.
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo imeongoza kutoa mikopo kwa kundi hilo kwa...

 

5 years ago

Michuzi

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 154 ZATUMIKA KUJENGA VYUMBA VITATU VYA MADARASA,UKARABATI WA SHULE WILAYANI TANDAHIMBA

Zaidi ya shilingi Milioni 154 zimetumika kujenga vyumba vitatu vya madarasa na kukarabati shule ya Msingi Luagala 'B' Wilayani Tandahimba

Akizindua madarasa hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba amesema madarasa hayo yamewekwa na madawati tayari kwa wanafunzi kuendelea na masomo

"Tumezindua madarasa haya lakini pia wametukabidhi shule ikiwa katika muonekano unaovutia  ambapo kazi hii imefanywa na taasisi ya Eclat na Upendo ,"amesema Waryuba

Naye Mwenyekiti wa taasisi ya Eclat...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani