Bilioni 1.7 zatumika kujenga sekondari ya JK Nyerere
Mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Mgodi wa North Mara watumia Bilioni 1.7 kujenga shule wa sekondari JK Nyerere
Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa Mkoa wa Mara na wale wa Wilaya ya Tarime na wahisani waliojenga Shule ya J.K. Nyerere kukata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Shule hiyo iliyoko katika Kijiji cha Nyamwaga.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpongeza Ndugu Jimmy Ijumba, Meneja wa ACACIA –North Mara Gold Mine mara baada ya kuzindua rasmi shule hiyo.
Mama Salma Kikwete akifurahia ngoma ya utamaduni na wananchi wa Kijiji cha Nyamwaga kilichoko katika wilaya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s72-c/unnamed.jpg)
BILIONI 1.3 ZATUMIKA KUJENGA MAABARA ZA SAYANSI NA HOSTELI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EzItTlhLsWk/VAiGRbCca8I/AAAAAAACqAw/ZGrVIUObOZg/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka akizungumza Na Denis Mlowe,Iringa
JUMLA ya sh. bilioni 1.3 zimetumika katika ujenzi wa maabara za sayansi, hosteli za wasichana na chumba cha darasa katika shule za sekondari za Ismani, Nyang’ro na Kalenga zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Akizungumza na wahabari hivi karibuni ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Iringa,Pudenciana Kisaka alisema kuwa halmashauri kupitia idara ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
BILIONI 56 ZATUMIKA KUJENGA STUDIO ZA AZAM TV, RAIS KIKWETE KUZIZINDUA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari, Tabata, Dar es Salaam.
Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi...
10 years ago
Habarileo18 Feb
Zatumika bilioni 39/- kukwamua kaya masikini
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Dk Mary Nagu amesema zaidi ya Sh bilioni 39 zimetumika ili kuzikwamua kaya masikini nchini ziweze kundokana na hali hiyo.
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Milioni 59/- zatumika kujenga nyumba , vyoo Shule ya Munguli
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida,imetumia zaidi ya shilingi 59 milioni kugharamia ujenzi wa nyumba ya mtumishi,vyoo na ununuzi wa vitanda na magodoro ya shule ya msingi ya bweni, kijiji cha Munguli ambayo ni maalum kwa jamii ya Wahadzabe tu.
Hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo,Bravo Lyapambile,wakati...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SBs9P9S6d5o/XqMJ0TyZgzI/AAAAAAALoHg/vPc1T5L-GrEkivtmRBST74HFRwPWOXZ9ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B8.50.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
BILIONI 27.40 ZATUMIKA KUTOA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-SBs9P9S6d5o/XqMJ0TyZgzI/AAAAAAALoHg/vPc1T5L-GrEkivtmRBST74HFRwPWOXZ9ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B8.50.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imesema kiasi cha Sh Bilioni 27.40 kilitolewa na Halmashauri zote nchini kwa ajili ya mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ikiwa ni asilimia 44 ya bajeti ya wanawake, vijana na wenye ulemavu ambayo ni Sh Bilioni 62.40.
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo imeongoza kutoa mikopo kwa kundi hilo kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dZ3OhqigiwM/XlYAqf_k8MI/AAAAAAAEFyQ/_RP2bC5YMuADqtoY2fffWUUAfDNZJhHzACLcBGAsYHQ/s72-c/5f862bf5-7543-4aa3-857b-df13ff516d68.jpg)
ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 154 ZATUMIKA KUJENGA VYUMBA VITATU VYA MADARASA,UKARABATI WA SHULE WILAYANI TANDAHIMBA
Akizindua madarasa hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba amesema madarasa hayo yamewekwa na madawati tayari kwa wanafunzi kuendelea na masomo
"Tumezindua madarasa haya lakini pia wametukabidhi shule ikiwa katika muonekano unaovutia ambapo kazi hii imefanywa na taasisi ya Eclat na Upendo ,"amesema Waryuba
Naye Mwenyekiti wa taasisi ya Eclat...