Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zatumika bilioni 39/- kukwamua kaya masikini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Dk Mary NaguWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Dk Mary Nagu amesema zaidi ya Sh bilioni 39 zimetumika ili kuzikwamua kaya masikini nchini ziweze kundokana na hali hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TASAF yatumia bilioni 4.2 kuzinusuru kaya masikini Singida

DSC04558

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja iliyoitishwa na ofisi ya Mtaribu wa TASAF mkoa, kwa ajili ya kuwajengea uwezo wadau wa mfuko huo ili waweze kufahamu vema.

DSC04566

Mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) mkoa wa Singida,Patrick Kasango akitoa ufafanuzi juu ya misaada ya fedha ya zaidi ya shilingi 4.2 bilioni zilizotolewa kwa kaya maskini 42,218, ili kuzinusuru ziweze kupata lishe bora, huduma za afya na elimu.

DSC04565

Baadhi ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

TASAF kunususru kaya masikini

DSC04088

 

Na Mwandishi wetu

Mpango wa kunusuru kaya maskini wilayani Manyoni, Mkoani Singida, umeanndikisha kaya 8,113 kati ya kaya 8,404 zilizotambuliwa na mpango huo katika kipindi cha kuanzia Aprili hadi Julai,mwaka huu.

Kaimu Mratibu wa TASAF Wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Herilabert Sagali alisema mpango huo ulianzishwa kwa malengo mawili ambayo ni pamoja na kutambua kaya maskini na kuandikisha kaya maskini.

Kwa mujibu wa mratibu huyo malengo ni kujenga uwezo pamoja na kuwezesha kaya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tasaf kuzinufaisha zaidi kaya masikini

Watanzania waishio kwenye kaya masikini watanufaika na ruzuku inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) baada ya tathmini iliyofanywa katika awamu tatu za mwanzo zilizohusisha baadhi ya wilaya nchini, kuonyesha mafanikio makubwa.

 

11 years ago

Habarileo

Kaya 2,944 masikini sana kunufaika

MPANGO wa kunusuru kaya masikini sana kupitia Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF lll) katika Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, unatarajia kunufaisha kaya 2,944.

 

9 years ago

Michuzi

Tasaf Manyara yasaidia kaya masikini

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akizungumza na mkazi wa Kitongoji cha Madukani Wilayani Simanjiro, Loshilaa Moiyo, ambaye alipatiwa sh110,000 za mfuko wa Maendeleo ya jamii nchini (Tasaf) kwa lengo la kusaidia kaya masikini.Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akizungumza na mtoto wa mkazi wa Kitongoji cha Madukani Wilayani Simanjiro Helena Saitabau, ambaye alipatiwa sh 120,000 za mfuko wa Maendeleo ya jamii nchini (Tasaf) kwa lengo la kusaidia kaya masikini.

 

5 years ago

Michuzi

KAYA MASIKINI NGORONGORO ZAPATIWA MBUZI 624

Na Ahmed Mahmoud,Arusha.
Kaya masikini zinazoishi katika kata ya Olbalbal wilayani Ngorongoro  zimepatiwa mbuzi na kondoo 624  watakaowasaidia kupunguza kiwango cha umasikini na kujipatia mahitaji muhimu pamoja na kujiendeleza kiuchumi.

Wananchi hao kutoka kaya zenye kipato duni wakizungumza katika makabidhiano ya mbuzi  hao waliotolewa na kikundi cha Narikungishu kilichopo  boma la utamaduni la ,Indemwa lililopo katika kata hiyo ,John Ngeka na Nalepo Emanuel walisema   kuwa mifugo hiyo...

 

9 years ago

Habarileo

Milioni 188/- kunusuru kaya masikini Morogoro

MANISPAA ya Morogoro imepokea jumla ya Sh 188,284,500 kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wake wa awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini.

 

10 years ago

Habarileo

TASAF yatakiwa kufikia kaya masikini Pemba

Ofisa Mdhamini katika ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Issa Juma Ali alisema upembezi yakinifu uliofanywa katika mpango wa kunusuru kaya masikini umebaini zaidi ya kaya 15 zinahitaji kufikiwa na kuingizwa katika Mpango wa Mradi wa Tasaf, Pemba.

 

11 years ago

Habarileo

TASAF kutumia bil 480/- kunusuru kaya masikini

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) itatumia Sh bilioni 480 katika awamu ya tatu ya mradi wa mpango wa kunusuru kaya masikini zilizo katika mazingira hatarishi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani