KIKWETE KUZINDUA STUDIO ZA AZAM TV KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytodBCvIFRSv9JABLKbptmMB3a8GkXAz67xT1q5TANAa-Y6*uZX2TtE1uhtWYX--iXOo*N2ysW-fKorviK8juK05/1.jpg?width=650)
Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media Group Tido Muhando akiongea mbele ya waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kituo hicho hapo kesho. Mkurugenzi uendeshaji wa vipindi vya Azam TV, Yahaya Mohamed, akifafanua jinsi vipindi vyao vitakavyoboleshwa.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
BILIONI 56 ZATUMIKA KUJENGA STUDIO ZA AZAM TV, RAIS KIKWETE KUZIZINDUA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari, Tabata, Dar es Salaam.
Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi...
10 years ago
Mwananchi06 Mar
JK kuzindua studio za Azam
10 years ago
Habarileo06 Mar
Kikwete mgeni rasmi uzinduzi wa studio ya Azam Tv
RAIS Jakaya Kikwete leo atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa studio ya kisasa ya Azam Tv itakayojulikana kama Uhai Production iliyopo eneo la Tabata kando ya barabara ya Mandela.
10 years ago
GPLDR. KIKWETE KUZINDUA KITABU CHA KIHISTORIA KESHO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s72-c/a7.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI STUDIO MPYA ZA AZAM TV JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s1600/a7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HUZpU9i7et4/VPoVk4sn-_I/AAAAAAAHIM0/KwXxvvOPj7o/s1600/a2.jpg)
10 years ago
GPL9 years ago
Dewji Blog22 Dec
TTCL kuzindua Huduma ya 4G LTE kesho
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inazindua rasmi teknolojia ya Long Term Evolution (LTE) inayojulikana kwa jina la mtandao wa 4G. Awamu ya kwanza inayoanza leo siku ya uzinduzi itatoa huduma katika maeneo 11 Jijini Dar es salaam.
Maeneo hayo ni pamoja na Uwanja wa Ndege wa Mwl J.K. Nyerere, Pugu Road, Posta Mpya, Upanga, Kinondoni, Ubungo, Oysterbay, Mwenge, Mbezi Tangibovu, Mbezi Exchange, Kunduchi Salasala na Wazo Tegeta. Awamu pili itakuwa kupeleka mawasiliano hayo katika maeneo...