Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DR. KIKWETE KUZINDUA KITABU CHA KIHISTORIA KESHO

Mwandishi wa kitabu cha kihistoria na Mhariri Mkuu, Simai Mohammed Said (wa kwanza kushoto) akizungumza wakati wa mkutano huo. Katikati ni mchapishaji wa kitabu hicho, Javed Jafferji pamoja na Afisa mahusiano, Claire Chemoinywa (kulia) Meza kuu ikitafakari maswali waliyoulizwa na wanahabari (hawapo pichani)…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AZINDUA KITABU CHA KIHISTORIA

Mwandishi wa kitabu cha kihistoria na Mhariri Mkuu, Simai Mohammed Said akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho. Mchapishaji wa kitabu hicho, Javed Jafferji akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho.…

 

10 years ago

Mtanzania

JK kuzindua kitabu cha muungano leo

Rais Jakaya KikweteRuth Mnkeni na Veronica Romwald, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kitabu kinachoelezea historia ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, mwandishi wa kitabu hicho kilichopewa jina la ‘Photographic Journey’, Javed Jafferji alisema lengo la kuaandaa kitabu hicho ni kuonesha matukio muhimu ambayo Tanzania imepitia tangu nchi hizo zilipoungana mwaka 1964.
“Tumepitia mambo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkamia kuzindua kitabu cha Simba

KITABU kilichosheheni historia ya Simba kuanzia mwaka 1920 hadi 2014, kinatarajiwa kuzinduliwa leo makao makuu ya klabu hiyo Mtaa wa Msimbazi, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mwandishi wa...

 

10 years ago

Habarileo

KKKT Gide kuzindua kitabu cha msichana leo

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana kitakachozinduliwa leo Kimara Baruti.

 

10 years ago

GPL

KIKWETE KUZINDUA STUDIO ZA AZAM TV KESHO

Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media Group Tido Muhando akiongea mbele ya waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kituo hicho hapo kesho. Mkurugenzi uendeshaji wa vipindi vya Azam TV, Yahaya Mohamed, akifafanua jinsi vipindi vyao vitakavyoboleshwa.…

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE

Msanii wa nyimbo za Injili Flora Mbasha, (mwenye nguo nyeusi), akiongoza mashambulizi jukwani
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI, NKURUNZIZA


 Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Burundi DSM kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais Burundi, Nkurunziza, Kikwete amefahamiana na Nkurunzinza kwa zaidi ya miaka 20 tangu wakati wa mazungumzo ya amani ya Burundi.



 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete kuzindua Kituo Cha Michezo Kidongo Chekundu


Rais Kikwete anatarajia kuzindua Kituo Kituo cha Michezo cha Kisasa cha Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu, Dar es Salaam, kituo cha kwanza cha aina yake nchini chenye kulenga miongoni mwa mambo mengi kuanza kulea wanamichezo tokea wakiwa wadogo.
Hayo yalijitokeza wakati wa mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Umeme ya Symbion Power, Bwana Paul Hinks(pichani) kwenye Hoteli ya JW Marriot Essex House, mjini New York, Marekani ambako Rais alikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani