Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KKKT Gide kuzindua kitabu cha msichana leo

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana kitakachozinduliwa leo Kimara Baruti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

JK kuzindua kitabu cha muungano leo

Rais Jakaya KikweteRuth Mnkeni na Veronica Romwald, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kitabu kinachoelezea historia ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, mwandishi wa kitabu hicho kilichopewa jina la ‘Photographic Journey’, Javed Jafferji alisema lengo la kuaandaa kitabu hicho ni kuonesha matukio muhimu ambayo Tanzania imepitia tangu nchi hizo zilipoungana mwaka 1964.
“Tumepitia mambo...

 

10 years ago

Habarileo

Uzinduzi wa kitabu cha kumlinda msichana Desemba 21

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana ambacho pamoja na masuala mengine, kinalenga kumwepusha na vishawishi na kumpotezea dira ya maisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkamia kuzindua kitabu cha Simba

KITABU kilichosheheni historia ya Simba kuanzia mwaka 1920 hadi 2014, kinatarajiwa kuzinduliwa leo makao makuu ya klabu hiyo Mtaa wa Msimbazi, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mwandishi wa...

 

10 years ago

GPL

DR. KIKWETE KUZINDUA KITABU CHA KIHISTORIA KESHO

Mwandishi wa kitabu cha kihistoria na Mhariri Mkuu, Simai Mohammed Said (wa kwanza kushoto) akizungumza wakati wa mkutano huo. Katikati ni mchapishaji wa kitabu hicho, Javed Jafferji pamoja na Afisa mahusiano, Claire Chemoinywa (kulia) Meza kuu ikitafakari maswali waliyoulizwa na wanahabari (hawapo pichani)…

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE

Msanii wa nyimbo za Injili Flora Mbasha, (mwenye nguo nyeusi), akiongoza mashambulizi jukwani
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

Kanisa laandaa kitabu maalumu kumhusu msichana

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana ambacho pamoja na masuala mengine, kinalenga kumwepusha na vishawishi na kumpotezea dira ya maisha.

 

9 years ago

Habarileo

JK kuzindua kituo cha michezo leo

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua kituo kipya cha michezo mbalimbali kitakachoitwa Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park) kilichopo kidongo Chekundu jijini Dar es Salam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani