Nkamia kuzindua kitabu cha Simba
KITABU kilichosheheni historia ya Simba kuanzia mwaka 1920 hadi 2014, kinatarajiwa kuzinduliwa leo makao makuu ya klabu hiyo Mtaa wa Msimbazi, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mwandishi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kitabu cha kwanza kinachoeleza Historia ya Klabu ya Simba tangu 1920 hadi sasa chazinduliwa rasmi na Mh. Nkamia
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia akijiandaa kukata utepe ili kuweza kuzindua rasmi kitabu hicho cha Historia ya Simba,Wanaoshuhudia kulia ni Mtunzi wa Kitabu hicho Mwina Kaduguda akifuatiwa na Bwana Mkuki Bugoya Mkurugenzi wa Mkuki na Nyota ambao ndio wachapishaji wa kitabu hicho.
Mwina kaduguda Mtunzi wa Kitabu cha “HISTORIA YA SIMBA” akimkabidhi Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia...
10 years ago
Mtanzania24 Apr
JK kuzindua kitabu cha muungano leo
Ruth Mnkeni na Veronica Romwald, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kitabu kinachoelezea historia ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, mwandishi wa kitabu hicho kilichopewa jina la ‘Photographic Journey’, Javed Jafferji alisema lengo la kuaandaa kitabu hicho ni kuonesha matukio muhimu ambayo Tanzania imepitia tangu nchi hizo zilipoungana mwaka 1964.
“Tumepitia mambo...
10 years ago
GPLDR. KIKWETE KUZINDUA KITABU CHA KIHISTORIA KESHO
10 years ago
Habarileo21 Dec
KKKT Gide kuzindua kitabu cha msichana leo
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana kitakachozinduliwa leo Kimara Baruti.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s72-c/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s640/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...
11 years ago
MichuziKITABU CHA "HISTORIA YA KLABU YA SIMBA"KILICHOANDIKWA NA MWINA KADUGUDA CHAZINDULIWA RASMI LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jdHBVAvY3AI/U8Wj2REkW9I/AAAAAAAF2mU/I_gfnj4ingM/s72-c/download+(1).jpg)
11 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA HABARI, VIJANA, NA MICHEZO AZINDUA RASMI KITABU CHA "HISTORIA YA KLABU YA SIMBA" KILICHOANDIKWA NA MWINA KADUGUDA