KITABU CHA KWANZA KINACHOELEZA KWA KINA HISTORIA YA KLABU YA SIMBA TANGU 1920 HADI SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jdHBVAvY3AI/U8Wj2REkW9I/AAAAAAAF2mU/I_gfnj4ingM/s72-c/download+(1).jpg)
Mwina Kaduguda
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kitabu cha kwanza kinachoeleza Historia ya Klabu ya Simba tangu 1920 hadi sasa chazinduliwa rasmi na Mh. Nkamia
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia akijiandaa kukata utepe ili kuweza kuzindua rasmi kitabu hicho cha Historia ya Simba,Wanaoshuhudia kulia ni Mtunzi wa Kitabu hicho Mwina Kaduguda akifuatiwa na Bwana Mkuki Bugoya Mkurugenzi wa Mkuki na Nyota ambao ndio wachapishaji wa kitabu hicho.
Mwina kaduguda Mtunzi wa Kitabu cha “HISTORIA YA SIMBA” akimkabidhi Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia...
11 years ago
MichuziKITABU CHA "HISTORIA YA KLABU YA SIMBA"KILICHOANDIKWA NA MWINA KADUGUDA CHAZINDULIWA RASMI LEO
11 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA HABARI, VIJANA, NA MICHEZO AZINDUA RASMI KITABU CHA "HISTORIA YA KLABU YA SIMBA" KILICHOANDIKWA NA MWINA KADUGUDA
10 years ago
Mwananchi20 Mar
Maendeleo ya Kiswahili tangu ukoloni hadi sasa.
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Fahamu historia fupi ya mwanadada Wastara Sajuki tangu alipoanza kuigiza mpaka sasa
Historia fupi ya mwanadada wa bongo movies - Wastara Sajuki. BONYEZA HAPA kuisoma.
11 years ago
Habarileo16 Jan
Kitabu cha historia ya Karume chazinduliwa
WAZANZIBARI wameshauriwa kusoma vitabu ili kuifahamu historia ya Mwasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar, hayati Abeid Amaan Karume ili kuepuka upotoshwaji, unaoweza kufanywa na watu wasioitakia mema Zanzibar. Mwito huo umetolewa na Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Ali Shaaban wakati wa uzinduzi wa kitabu chake, kinachoelezea historia ya mwasisi huyo wa Zanzibar.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-Z7OaFiXSUUA/VYwKzczX0oI/AAAAAAAACPw/3MqKTGhM8-o/s72-c/Guinness-World-Records.jpg)
KITABU CHA "GUINNESS WORLD RECORDS" NACHO KINA REKODI YAKE YA KIPEKEE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z7OaFiXSUUA/VYwKzczX0oI/AAAAAAAACPw/3MqKTGhM8-o/s400/Guinness-World-Records.jpg)
Kitabu maarufu duniani kinaoandikwa kuhusu matukio mbalimbali ya ajabu na ya kushangaza duniani "Guiness Book of Records" nacho kina rekodi yake ya kipekee. Kitabu hicho kinashikilia rekodi ya kua kitabu kinachoongoza kwa kuibwa mara nyingi zaidi katika library mbalimbali duniani ambazo kitabu hicho kipo.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_YwE6ufptG8/Tw5SeJwUbYI/AAAAAAAAEWM/LnYTNCan_Kc/s72-c/320.jpg)
kitabu cha Africans and Americans: Embracing Cultural Differences, chatimiza miaka 10 tangu kuchapishwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YwE6ufptG8/Tw5SeJwUbYI/AAAAAAAAEWM/LnYTNCan_Kc/s320/320.jpg)
Na Profesa Joseph Mbele
Kitabu changu, Africans and Americans: Embracing Cultural Differences, kimetimiza miaka kumi tangu nilipokichapisha, tarehe 5 Februari, mwaka 2005. Siku hiyo niliuingiza muswada katika mtandao wa lulu nikalipia namba ya utambulisho wa kitabu, yaani ISBN. Siku hiyo hiyo niliagiza nakala ya kwanza, nikaipata baada ya wiki moja hivi. Wiki hii ni kumbukumbu ya miaka kumi ya kuwepo kwa kitabu hiki.
Mambo mengi yametokea katika miaka hii kumi kuhusiana na kitabu hiki....
10 years ago
MichuziJK MGENI RASMI UZINDUZI WA KITABU CHA HISTORIA YA NCHI “PHOTOGRAPHIC BOOK”