KITABU CHA "GUINNESS WORLD RECORDS" NACHO KINA REKODI YAKE YA KIPEKEE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z7OaFiXSUUA/VYwKzczX0oI/AAAAAAAACPw/3MqKTGhM8-o/s72-c/Guinness-World-Records.jpg)
Kitabu maarufu duniani kinaoandikwa kuhusu matukio mbalimbali ya ajabu na ya kushangaza duniani "Guiness Book of Records" nacho kina rekodi yake ya kipekee. Kitabu hicho kinashikilia rekodi ya kua kitabu kinachoongoza kwa kuibwa mara nyingi zaidi katika library mbalimbali duniani ambazo kitabu hicho kipo.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTHE GUINNESS WORLD FOOD RECORDS
9 years ago
Bongo511 Nov
Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ yaweka rekodi mpya ya ‘Guinness World Record’
![James Bond-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/James-Bond-1-300x194.jpg)
Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ imeweka rekodi mpya ya Guinness World Record kwa kuwa filamu yenye mlipuko mkubwa zaidi kuwahi kutokea kwenye historia ya filamu (Largest Film Stunt Explosion).
Waigizaji Daniel Craig, Léa Seydoux na producer Barbara Broccoli wa filamu hiyo hivi karibuni walikabidhiwa official Guinness World Records certificate baada ya filamu hiyo kuvunja rekodi hiyo.
Mlipuko huo ambao ulitengenezewa Erfoud, Morocco ulifanikishwa kwa kutumia lita 8,418 za mafuta ya taa,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jdHBVAvY3AI/U8Wj2REkW9I/AAAAAAAF2mU/I_gfnj4ingM/s72-c/download+(1).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Tofauti kati ya wenye nacho na wasio nacho hatari kwa amani
TANZANIA imepata kusifika duniani kwa amani iliyopo miongoni mwa wananchi na ukarimu kwa wageni. Wanapokuja hapa kwa madhumuni mbalimbali binafsi, kwa kiasi kikubwa ni kivutio kikubwa kimojawapo katika masuala ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3IBbO8s2Tr8/XlrHoIWd34I/AAAAAAALgK0/Gos0d7XaI64eb7sSvwN-6bd9hR_ZgTYigCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-02-28-18-58-14.jpg)
9 years ago
StarTV24 Aug
Tazama rekodi ya kipekee waliyoiweka Azama licha ya kukosa ngao ya hisani.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_Ezc1yQuOAM/VdqNv1GCJiI/AAAAAAABm2k/WZyfhtmP_sI/s640/AISHI%2BMANULAZ.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UqyGMvRGrBc/XkVqDM0zZ5I/AAAAAAABLsI/x1jupk9tq3IhUaYfCQ4QeJKVEMZvfhMuQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0015.jpg)
DK MERU AMPONGEZA MURUSURI NA KUMTAKA KUKISAMBAZA AFRIKA KITABU CHAKE CHA 'MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY'.
![](https://1.bp.blogspot.com/-UqyGMvRGrBc/XkVqDM0zZ5I/AAAAAAABLsI/x1jupk9tq3IhUaYfCQ4QeJKVEMZvfhMuQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200213-WA0015.jpg)
KATIBU MKUU Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi za Wakurugenzi za OSHA na VIPIMO (Weights & Measures), Dkt. Adelhelm Meru (Kushoto), akipokea kitabu cha "MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY" kutoka kwa mwandishi wa Kitabu hicho, Ndg. Derek Murusuri, jijini Dar es Salaam leo (13Feb., 2020). Kitabu hicho cha kwanza kuihakikishia Afrika, pasina shaka kuwa inaweza kuongoza uchumi wa dunia, kilizinduliwa mwezi uliopita (January, 2020) na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda.
Dk. Meru ambaye ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HGLXlQ7qM2A/Xpyp15VswuI/AAAAAAALncc/aOIJwizMJrstcvvYH-qcVoKi5byQis_CwCLcBGAsYHQ/s72-c/ff554cdd-a135-4a42-b3ad-b5d8606d9b74.jpg)
KITABU CHA MDAU DEREK MURUSURI 'MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY' KINAVYOZIDI KUPOKELEWA NA WADAU MBALIMBALI
Dkt. Nyamajeje alikuwa anawakilisha mataifa nane (8) ya Afrika katika Bodi ya Wakurugenzi ya AfDB.
Nchi hizo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Eritrea, Seychelles na Sudan ya Kusini.
Dkt. Nyamajeje ambaye amefurahishwa na ujio wa kitabu cha...
9 years ago
Bongo516 Sep
2Face kutoa kitabu chake cha historia ‘A Very Good Bad Guy’ kwenye siku yake ya kuzaliwa