Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITABU CHA "GUINNESS WORLD RECORDS" NACHO KINA REKODI YAKE YA KIPEKEE


Kitabu maarufu duniani kinaoandikwa kuhusu matukio mbalimbali ya ajabu na ya kushangaza duniani "Guiness Book of Records" nacho kina rekodi yake ya kipekee. Kitabu hicho kinashikilia rekodi ya kua kitabu kinachoongoza kwa kuibwa mara nyingi zaidi katika library mbalimbali duniani ambazo kitabu hicho kipo. 


Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

THE GUINNESS WORLD FOOD RECORDS

1. Beginning with the extremes, and specifically with size, ‘the longest pizza’ measured is 1,141.5 m and was created by Jesús Marquina Cepeda in Spain, on 31 May 2011. To picture its gigantic dimension, this pizza was almost 4 times longer than the Eiffel Tower! 2. How many burgers do you think you have eaten throughout your life? 100? 1000? Well, the ‘most Big Macs consumed’ record has been achieved...

 

9 years ago

Bongo5

Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ yaweka rekodi mpya ya ‘Guinness World Record’

James Bond-1

Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ imeweka rekodi mpya ya Guinness World Record kwa kuwa filamu yenye mlipuko mkubwa zaidi kuwahi kutokea kwenye historia ya filamu (Largest Film Stunt Explosion).

James Bond-1

Waigizaji Daniel Craig, Léa Seydoux na producer Barbara Broccoli wa filamu hiyo hivi karibuni walikabidhiwa official Guinness World Records certificate baada ya filamu hiyo kuvunja rekodi hiyo.

Mlipuko huo ambao ulitengenezewa Erfoud, Morocco ulifanikishwa kwa kutumia lita 8,418 za mafuta ya taa,...

 

11 years ago

Michuzi

KITABU CHA KWANZA KINACHOELEZA KWA KINA HISTORIA YA KLABU YA SIMBA TANGU 1920 HADI SASA

                                                 Mwina Kaduguda

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti kati ya wenye nacho na wasio nacho hatari kwa amani

TANZANIA imepata kusifika duniani kwa amani iliyopo miongoni mwa wananchi na ukarimu kwa wageni. Wanapokuja hapa kwa madhumuni mbalimbali binafsi, kwa kiasi kikubwa ni kivutio kikubwa kimojawapo katika masuala ya...

 

9 years ago

StarTV

Tazama rekodi ya kipekee waliyoiweka Azama licha ya kukosa ngao ya hisani.

Kipa wa Azam FC, Aishi Manula akiwa amedaka mpira mbele ya Nahodha wa Yanga SC, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam REKODI YA STEWART TANGU AREJEE AZAM Azam FC 4-2 Friends Rangers (Kirafiki Chamazi) Azam FC 1-0 JKT Ruvu (Kirafiki Chamazi) Azam FC 1-0 African Sports (Kirafiki Tanga Azam FC 1-0 Coastal Union (Kirafiki Tanga) Azam FC 1-0 KCCA (Kagame Taifa) Azam FC 2-0 Malakia (Kagame Taifa) Azam FC 5-0 Adama City (Kagame Taifa) Azam FC 0-0 Yanga SC...

 

5 years ago

Michuzi

DK MERU AMPONGEZA MURUSURI NA KUMTAKA KUKISAMBAZA AFRIKA KITABU CHAKE CHA 'MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY'.


KATIBU MKUU Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi za Wakurugenzi za OSHA na VIPIMO (Weights & Measures), Dkt. Adelhelm Meru (Kushoto), akipokea kitabu cha "MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY" kutoka kwa mwandishi wa Kitabu hicho, Ndg. Derek Murusuri, jijini Dar es Salaam leo (13Feb., 2020). Kitabu hicho cha kwanza kuihakikishia Afrika, pasina shaka kuwa inaweza kuongoza uchumi wa dunia, kilizinduliwa mwezi uliopita (January, 2020) na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda.

Dk. Meru ambaye ...

 

5 years ago

Michuzi

KITABU CHA MDAU DEREK MURUSURI 'MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY' KINAVYOZIDI KUPOKELEWA NA WADAU MBALIMBALI

HAZINA: MKURUGENZI Mtendaji Mstaafu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Nyamajeje Caleb Weggoro, akipokea Kitabu cha MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY kutoka kwa mwandishi wake, Derek Murusuri, jijini Arusha mwishoni mwa wiki hii.

Dkt. Nyamajeje alikuwa anawakilisha mataifa nane (8) ya Afrika katika Bodi ya Wakurugenzi ya AfDB.

Nchi hizo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Eritrea, Seychelles na Sudan ya Kusini.

Dkt. Nyamajeje ambaye amefurahishwa na ujio wa kitabu cha...

 

9 years ago

Bongo5

2Face kutoa kitabu chake cha historia ‘A Very Good Bad Guy’ kwenye siku yake ya kuzaliwa

September 18, msanii nguli wa Nigeria, 2Face Idibia atatimiza umri wa miaka 40. Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, 2Face atafanya party ya nguvu iliyopewa jina ‘Fortyfied’ itakayojumuisha tamasha kubwa la muziki. Pia siku hiyo kitatoka kitabu cha historia yake kichopewa jina la ‘A Very Good Bad Guy: The Story Of Innocent 2Face Idibia.’ Kitabu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani