GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s72-c/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
Msanii wa nyimbo za Injili Flora Mbasha, (mwenye nguo nyeusi), akiongoza mashambulizi jukwani
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s72-c/halima%2Bmzee.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ: MBUNGE HALIMA MDEE NI MZIGO JIMBO LA KAWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s640/halima%2Bmzee.jpg)
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope...
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI FREEMAN MBOWE AZINDUA KITABU CHA UTEKELEZAJI AHADI ZA JIMBO LA KAWE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s72-c/IMG_20141018_182334.jpg)
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE ALIPOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA MWANZA JANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s640/IMG_20141018_182334.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AycYI3liuZM/VEOWYgbV02I/AAAAAAACRz0/EzRTKrGfc5s/s640/IMG_20141018_182341.jpg)
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Gwajima, Flora Mbasha wafunguka
Elias Msuya na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya picha za mtoto mchanga kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa ni za mtoto wa mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kuwa amezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima hatimaye wawili hao wamefunguka.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la...
5 years ago
The Citizen Daily24 Feb
VIDEO: Kawe MP Halima Mdee snubs Mashinji’s handshake
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/03AO119erRM/default.jpg)
MCHUNGAJI GWAJIMA ADAI MTOTO ALIEJIFUNGUA FLORA MBASHA SIYO WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-4HUCfASN9CI%2FVNPo79czpzI%2FAAAAAAADXsQ%2FItzW6auTit4%2Fs1600%2FGWAJIMA.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Huyu ndiyo mtoto alie jifungua Flora Mbasha, mchungaji Gwajima aruka kimanga na kukana kuwa mtoto huyu siyo wake na kusema kuwa (It doesn't hold water) akiwa na maana haina mashiko. Mbasha nae alivyoulizwa juu ya mtoto huyu majibu yake aliyajibu kwa kutuma ujumbe wa wimbo huu wa injili hadi sasa watu wanashindwa kupata ukweli wa nani baba wa mtoto huyu lakini mwenye majibu ya maswali yote ni mwenyewe Flora Mbasha. Jitiririshe na wimbo wa Emmanuel Mbasha hapa chini kama majibu ya wale wote...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
HALIMA MDEE: Mbunge, mwanasheria anayesimamia hoja
LEO katika safu yetu ya Mwanamama namzungumzia Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA). Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya kuwa mbunge...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Halima Mdee
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
HALIMA MDEE: Mbunge asiye na makeke anayetetea taifa
Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya kuwa Mbunge wa Viti Maalumu kwa kipindi cha miaka mitano, aliamua kupambana kwenye uchaguzi mkuu wa 2010 na kufanikiwa kukinyakua kiti cha jimbo...