VIDEO: Kawe MP Halima Mdee snubs Mashinji’s handshake
VIDEO: Kawe MP Halima Mdee snubs Mashinji’s handshake The Citizen Daily
The Citizen Daily
Habari Zinazoendana
5 years ago
The Citizen Daily25 Feb
What Mashinji said after Halima Mdee snubbed his handshake
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s72-c/halima%2Bmzee.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ: MBUNGE HALIMA MDEE NI MZIGO JIMBO LA KAWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s640/halima%2Bmzee.jpg)
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s72-c/IMG_20141018_182334.jpg)
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE ALIPOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA MWANZA JANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s640/IMG_20141018_182334.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AycYI3liuZM/VEOWYgbV02I/AAAAAAACRz0/EzRTKrGfc5s/s640/IMG_20141018_182341.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s72-c/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s640/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Halima Mdee rumande
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (35) na wanachama wenzake wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana walipelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha taratibu za dhamana katika kesi inayowakabili ya kutotii amri halali ya Polisi na kufanya mkusanyiko bila kibali.
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
JK amzimia Halima Mdee
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), jana aligeuka kivutio kikubwa katika hafla ya uzinduzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta. Katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Mdee,...
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Halima Mdee ngangari
JESHI la Polisi jana lilitembeza mkong’oto na kuwakamata makada na viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wakiandamana kwenda Ikulu Mwenyekiti wa Bawacha, Halima...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Halima Mdee: Jihadharini na Matapeli
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (pichani) amewatahadharisha wananchi juu ya utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wasiojulikana katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake kwa kudai kuwa anatoa mikopo bila riba.
siku za hivi karibuni kumekuwapo na matukio ambayo yamekuwa yakiwakuta baadhi ya viongozi wakiwemo Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Mbuge wa Monduli Edward Lowassa.
kwa mujibu wa Mdee ni kuwa wakati muhafaka kwa Jeshi la Polisi...
10 years ago
Mtanzania10 Jun
RC Gama amjibu Halima Mdee
NA RODRICK MUSHI, MOSHI
SIKU moja baada ya Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee (Chadema), kumlipua Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, akidai kuwa amekuwa dalali wa viwanja, hatimaye amejibu mapigo na kusema kusakamwa kwake kunatokana na msimamo wake dhidi ya wa wanywaji pombe wilayani Rombo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, alisema kauli ya Mdee imejaa siasa, hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, lakini hatorudi...