DIAMOND PLATNUMZ: MBUNGE HALIMA MDEE NI MZIGO JIMBO LA KAWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s72-c/halima%2Bmzee.jpg)
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s72-c/IMG_20141018_182334.jpg)
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE ALIPOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA MWANZA JANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s640/IMG_20141018_182334.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AycYI3liuZM/VEOWYgbV02I/AAAAAAACRz0/EzRTKrGfc5s/s640/IMG_20141018_182341.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s72-c/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s640/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...
5 years ago
The Citizen Daily24 Feb
VIDEO: Kawe MP Halima Mdee snubs Mashinji’s handshake
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
HALIMA MDEE: Mbunge, mwanasheria anayesimamia hoja
LEO katika safu yetu ya Mwanamama namzungumzia Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA). Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya kuwa mbunge...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Halima Mdee
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
HALIMA MDEE: Mbunge asiye na makeke anayetetea taifa
Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya kuwa Mbunge wa Viti Maalumu kwa kipindi cha miaka mitano, aliamua kupambana kwenye uchaguzi mkuu wa 2010 na kufanikiwa kukinyakua kiti cha jimbo...
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI FREEMAN MBOWE AZINDUA KITABU CHA UTEKELEZAJI AHADI ZA JIMBO LA KAWE
9 years ago
Bongo516 Nov
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee washinda tuzo 4 za AFRIMA 2015 Nigeria
![d n v](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/d-n-v-300x194.jpg)
Tuzo za All Afrika Music Awards 2015 (AFRIMA) zimetolewa usiku wa Jumapili November 15 jijini Lagos, Nigeria ambapo Tanzania imetoa washindi wawili.
Diamond Platnumz aliyekuwa akiwania tuzo hizo ameibuka mshindi wa vipengele 3 kikiwemo kipengele muhimu cha Msanii Bora Wa Mwaka (Artist Of The Year) ambayo ilikuwa ikiwaniwa na Alikiba, Davido, Jose Chameleone, Wizkid, Yemi Alade, Sarkodie na Flavour.
Vipengele vingine alivyoshinda Diamond ni Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki (Best...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Diamond Platnumz, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz ndani ya “Celebrity Party” Houston Texas Ijumaa hii 0ct 9
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vj0I3ec-k-s/VhS0cGqtJjI/AAAAAAAATdA/VSWB5Q9kkBM/s640/VANESSA%2BHOUSTON%2BAFRIMMA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gZOvew7rmMo/VhS0cL6ZBeI/AAAAAAAATc4/WM9Z5RXrU7M/s640/DIAMOND%2BHOUSTON%2BNEW.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ – HOST
![](http://3.bp.blogspot.com/-pQwXtrzaGXs/VhS0cGPZEPI/AAAAAAAATc8/rIbNsHpMZa4/s640/DIMPOZ%2BHOUSTON%2BAFRIMA.jpg)
OMMY DIMPOZ -HOST
KWA MARA YA KWANZA NDANI YA MAREKANI ” 3 SUPERSTARS IN ONE NIGHT #HOUSTON TEXAS ONLY !