HALIMA MDEE: Mbunge asiye na makeke anayetetea taifa
Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya kuwa Mbunge wa Viti Maalumu kwa kipindi cha miaka mitano, aliamua kupambana kwenye uchaguzi mkuu wa 2010 na kufanikiwa kukinyakua kiti cha jimbo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
HALIMA MDEE: Mbunge, mwanasheria anayesimamia hoja
LEO katika safu yetu ya Mwanamama namzungumzia Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA). Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya kuwa mbunge...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Halima Mdee
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s72-c/halima%2Bmzee.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ: MBUNGE HALIMA MDEE NI MZIGO JIMBO LA KAWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s640/halima%2Bmzee.jpg)
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s72-c/IMG_20141018_182334.jpg)
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE ALIPOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA MWANZA JANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pBXSbUhBohY/VEOWWEC-VdI/AAAAAAACRzs/EQWc9EYISFw/s640/IMG_20141018_182334.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AycYI3liuZM/VEOWYgbV02I/AAAAAAACRz0/EzRTKrGfc5s/s640/IMG_20141018_182341.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s72-c/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-r3Zb89jQK30/VWH6lI3xNgI/AAAAAAAAUAM/2Erv0rKuGEM/s640/Flora%2Bm%2Bbasha1.jpg)
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Kituko cha Spika wa Bunge asiye mbunge!
TUNAWEZA kubaini hatua mbalimbali za kihistoria zilizolifanya bunge letu liwe bubu na butu, nami
Jenerali Ulimwengu
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
JK amzimia Halima Mdee
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), jana aligeuka kivutio kikubwa katika hafla ya uzinduzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta. Katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Mdee,...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Halima Mdee rumande
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (35) na wanachama wenzake wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana walipelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha taratibu za dhamana katika kesi inayowakabili ya kutotii amri halali ya Polisi na kufanya mkusanyiko bila kibali.
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Halima Mdee ngangari
JESHI la Polisi jana lilitembeza mkong’oto na kuwakamata makada na viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wakiandamana kwenda Ikulu Mwenyekiti wa Bawacha, Halima...