Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kituko cha Spika wa Bunge asiye mbunge!

TUNAWEZA kubaini hatua mbalimbali za kihistoria zilizolifanya bunge letu liwe bubu na butu, nami

Jenerali Ulimwengu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

HALIMA MDEE: Mbunge asiye na makeke anayetetea taifa

Huyu ni mbunge kijana  ambaye baada ya kuwa Mbunge wa Viti Maalumu kwa kipindi cha miaka mitano, aliamua kupambana kwenye uchaguzi mkuu wa 2010 na kufanikiwa kukinyakua kiti cha jimbo...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge EAC lijiangalie upya lisigeuke kituko

Kwa mara nyingine, hoja ya kumng’oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Nantongo Zziwa imekwamisha shughuli za bunge hilo huku bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), iliyopaswa kusomwa Alhamisi ya Mei 29, ikikwama.

 

11 years ago

Michuzi

Spika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) alipofika Ofisini kwake leo kwa ziara ya kikazi. Wengine ni baadhi ya Wabunge kutoka Bunge la Uholanzi alioambatana nao. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika mazungumzo Ofisni kwake na Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) pamoja na ujumbe wa wabunge wanane kutoka Bunge la uholanzi ambao wapo nchini kwa ziara ya kikazi.

 

9 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akutana na Spika na Naibu Spika wa Bunge la Burundi ikulu jijini Dar es salaam

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na spika wa Bunge la Burundi Mhe.Paschal Nyabenda(kushoto) na Naibu Spika wa Bunge la Burundi Mhe.Agathon Rwasa ikulu jijini Dar es Salam leo mchana.Spika huyo na ujumbe wake walimtembelea Rais Kikwete leo.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge la Burundi Mhe. Paschal Nyabenda, naibu Spika wa Bunge hilo Mhe. Agathon Rwasa pamoja wajumbe wengine ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI AONGOZA BUNGE LA 11 MKUTANO WA 19 KIKAO CHA KWANZA JIJINI DODOMA


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza Bunge la 11 Mkutano wa 19 kikao cha kwanza kilichoanza leo Bungeni jijini Dodoma huku Mkutano huo unatarajia  kumalizika tarehe 30 Juni, 2020.Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiteta jambo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi wakati wa Bunge la 11 Mkutano wa 19 kikao cha kwanza kilichoanza leo Bungeni Jijini Dodoma huku Mkutano huo unatarajia  kumalizika tarehe 30 Juni, 2020.

 

5 years ago

Michuzi

NZELENTIN NAHIMANA AWA MWENYEKITI WA KIKAO CHA BUNGE EALA BAADA YA SPIKA KUTOTOKEA KWENYE

Mwenyekiti wa kikao cha bunge la EALA Nzeintin Nahimana akiingia kuongoza kikao cha Tatu cha bunge la Nne jioni hii jijini Arusha  Mwenyekiti wa kikao cha tatu Nzelentin Nahimana akiwa kwenye chumba baada ya kupitishwa kuwa Mwenyekiti wa kikao cha bunge la nne kuongoza kikao cha Tatu cha bunge hilo leo jioni jijini Arusha.
Ahmed Mahmoud ArushaBunge la Afrika mashariki limempitisha Mbunge wa bunge hilo Leontin Nzeimanah kuwa Mwenyekiti wa Kikao cha Tatu mkutano wa nne kuendesha baada ya Spika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Chief Yemba wa ADC atangaza kugombea kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !

Yemba+PHOTO Chief Yemba

Na Mahmoud Ahmad

[TANZANIA]

Kutoka jiji la Arusha, aliyekuwa  mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Chief Lutayosa Yemba (Pichani) ametangaza kugombea kiti cha Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADC.

Chief Yemba, ameyasema hayo leo jijini Arusha, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari akitoa tathimini ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu, pamoja na kutathimini uchaguzi wa jimbo la Arusha ambao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani