OFISI YA BUNGE YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA KITI CHA UNAIBU SPIKA.
![](http://img.youtube.com/vi/zuJ_x_JwQWI/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vtFWI8yDgrU/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Chief Yemba wa ADC atangaza kugombea kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !
Chief Yemba
Na Mahmoud Ahmad
[TANZANIA]
Kutoka jiji la Arusha, aliyekuwa mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Chief Lutayosa Yemba (Pichani) ametangaza kugombea kiti cha Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADC.
Chief Yemba, ameyasema hayo leo jijini Arusha, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari akitoa tathimini ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu, pamoja na kutathimini uchaguzi wa jimbo la Arusha ambao...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Dk. Tulia Mwansasu achaguliwa kugombea Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania!
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wamchagua Dk. Tulia Ackson Mwansasu kugombea nafasi ya Unaibu Spika wa 11 wa Bunge la Jamhur la Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ambaye pia ni Mbunge wa Mtama amebainisha kuwa, Dk. Tulia amepata nafasi hiyo baada ya wagombea wengine wawili kujitoa hivyo kupita bila kupingwa.
Wagombea waliokuwa wakigombea nafasi hiyo ndani ya CCM ni pamoja na Mhe. Mariam Kisangi pamoja na Bahati Abeid.
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Unaibu Spika kaa la moto
>Jenister Mhagama ajitosa kumvaa Dk. Tulia Akson
>Wabunge washtukia figisufigisu ya mgombea kubebwa
>Ndugai apita bila kupingwa, Ukawa wamteua Medeye
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
BAADA ya jana wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpitisha aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge la 10, Job Ndugai, kuwania kiti cha uspika, vita kubwa inaonekana kuanza katika nafasi ya Naibu Spika.
Taarifa zilizopatikana jana mjini hapa, zinasema kuwa katika nafasi hiyo, baadhi ya vigogo wa Serikali wanataka Dk. Tulia...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s72-c/8.jpg)
DK. TULIA ACKSON APITA UNAIBU SPIKA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3swUSwB8P0/Vkt7YwCR5tI/AAAAAAAArhc/ZInvMnNajls/s640/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Dnla2W0rjc/Vkt7fLovi9I/AAAAAAAArhk/9quSU9UpU_A/s640/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ddGB53TecPU/Vkt7hK8lUxI/AAAAAAAArhs/urO6OPlY0Lg/s640/10.jpg)
10 years ago
MichuziMWANASHERIA MKUU AMTEMBELEA SPIKA MAKINDA OFISI NDOGO ZA BUNGE JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-QqnUnZiJmG4/VK95VhNOEmI/AAAAAAAG8Is/ytFa-ePyVAU/s1600/Spika%2Bwa%2BBunge%2Bla%2BJamhuri%2Bya%2BMuungano%2Bwa%2BTanzania%2BMheshimiwa%2BAnne%2BMakinda%2Bakimkaribisha%2Bofisini%2Bkwake%2BMwanasheria%2BMkuu%2Bwa%2BSerikali%2BNdugu%2BGeorge%2BMasaju%2Bwakati%2Balipofanya%2Bziara%2Bfupi%2Bya%2Bkubadilishana%2Bmawazo%2Bhii%2Bleo..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cPdk0AZDz70/VK95Vuev8VI/AAAAAAAG8Io/CCoRt8_LiXU/s1600/Mwanasheria%2BMkuu%2Bwa%2BSerikali%2BGeorge%2BMasaju%2Bakitia%2Bsaini%2Bkwenye%2Bkitabu%2Bcha%2Bwageni%2Bwa%2BSpika%2Bwa%2BBunge%2Bla%2BJamhuri%2Bya%2BMuungano%2Bwa%2BTanzania%2Bkabla%2Bya%2Bkuanza%2Bkubadilshana%2Bmawazo.%2BZiara%2Bhiyo%2Bfupi%2Bimefanyika%2Bofisi%2Bndogo%2Bza%2Bbunge%2BDar-es-salaam..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UlxtPOZGImo/VK95VYRZRlI/AAAAAAAG8Iw/i5h0-BeOnMg/s1600/Mwanasheria%2BMkuu%2Bwa%2BSerikali%2BNdugu%2BGeorge%2BMasaju%2Bakisisitiza%2Bjambo%2Bwakati%2Bwa%2Bmazungumzo%2Bya%2Bkubadilishana%2Bmawazo%2Bna%2BSpika%2Bwa%2BBunge%2BMheshimiwa%2BAnne%2BSemamba%2BMakinda%2Bkwenye%2Bofisi%2Bndogo%2Bza%2Bbunge%2BDar-es-salaam..jpg)
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Kituko cha Spika wa Bunge asiye mbunge!
TUNAWEZA kubaini hatua mbalimbali za kihistoria zilizolifanya bunge letu liwe bubu na butu, nami
Jenerali Ulimwengu