Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Tulia Mwansasu achaguliwa kugombea Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania!

SPIKA 1Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wamchagua Dk. Tulia Ackson Mwansasu kugombea nafasi  ya Unaibu Spika wa 11 wa Bunge la  Jamhur la Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ambaye pia ni Mbunge wa Mtama amebainisha kuwa, Dk. Tulia amepata nafasi hiyo baada ya wagombea wengine wawili kujitoa hivyo kupita bila kupingwa.

 Wagombea waliokuwa wakigombea nafasi hiyo ndani ya CCM ni pamoja na Mhe. Mariam Kisangi pamoja na Bahati Abeid.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

CCM

Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika. 

Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-

Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...

 

9 years ago

CCM Blog

DK TULIA ACKSON NDIE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Dk. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo ameshinda kwa kura 250 sawa na asilimia 71.2% ambapo mshindani wake Mhe. Magdalena Sakaya alipata kura 101.

Idadi ya Wabunge inayotakiwa ni 394, waliosajiliwa 369, akidi ni 184 na waliohudhuria ni 351 na hakukuwa na kura iliyoharibika.

 

9 years ago

Dewji Blog

JOB NGUGAI achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

ndugai1

Pichani ni Mh. job Ndugai akiwa katika bunge la awali la 10, ambapo alikuwa ni Kaimu Spika wa Bunge hilo. Leo Novemba 17, ameweza kunyakua kiti hicho na kuwa Spika wa Bunge la 11,  baada ya kupata ushindi wa kula 254, dhidi ya mpinzani wake, kutoka UKAWA. (Picha ya maktba yetu).

[DODOMA-TANZANIA] Nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatimaye imechukuliwa na Mh. Job Yustino Ndugai wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuchaguliwa kwa kura 254 sawa na asilimia 70% ya kura...

 

9 years ago

Dewji Blog

Chief Yemba wa ADC atangaza kugombea kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !

Yemba+PHOTO Chief Yemba

Na Mahmoud Ahmad

[TANZANIA]

Kutoka jiji la Arusha, aliyekuwa  mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Chief Lutayosa Yemba (Pichani) ametangaza kugombea kiti cha Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADC.

Chief Yemba, ameyasema hayo leo jijini Arusha, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari akitoa tathimini ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu, pamoja na kutathimini uchaguzi wa jimbo la Arusha ambao...

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ.....: DKT. TULIA ACKSON MWANSASU APITISHWA KUWA NAIBU SPIKA WA BUNGE

Dkt. Tulia Ackson Mwansasu
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%. 

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Tulia Ackson achaguliwa Naibu Spika wa Bunge

Wabunge 250 wamepiga kura za ndiyo kwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Viti Maalumu, vya kuteuliwa na rais, Dk Tulia Ackson Mwansasu na kumchagua kuwa Naibu Spika wa Bunge la kumi na moja.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tayari Waziri Mkuu na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepatikana!

tulia

Dkt. Tulia Ackson Mwansasu (Naibu Spika wa Bunge 2015-2020).

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.

[DODOMA].

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamemchagua Mhe.Dkt. Tulia Akson kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11 baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka Chama cha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tayari Waziri Mkuu wa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepatikana!

tulia

Dkt. Tulia Ackson Mwansasu (Naibu Spika wa Bunge 2015-2020).

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%. 

kasim

Kassim Majaliwa (Waziri Mkuu mpya wa Tanzania 2015-2020)

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, muda mfupi uliopita limepitisha jina la Mbunge wa Jimbo la Rwangwa, Mh. Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu...

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZ.......: JOB NDUGAI NDIYE SPIKA MPYA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Hatimaye Job Yustino Ndugai CCM amechaguliwa kuwa Spika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuchaguliwa kwa kura 254 sawa na asilimia 70% ya kura zilizopigwa akifuatiwa na mgombea wa CHADEMA Goodluck Ole Medeye ambaye amepata kura 109.
Hata hivyo wagombea hao ambao walikuwa 7 kati ya 8 wameweza kutoa shukrani na pongezi kwa Ndugai wakisema anastahili na ndio maana akachaguliwa na kumtaka aongoze vyema bunge hilo.

 Job Ndugai ameibuka mshindi wa kiti cha Spika wa Bunge la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani