BREAKING NYUZZZZ.....: DKT. TULIA ACKSON MWANSASU APITISHWA KUWA NAIBU SPIKA WA BUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-p2NiTvnRhFA/Vk2ktxJAETI/AAAAAAAIGyU/b7oB5Yk_fJ8/s72-c/tulia.jpg)
Dkt. Tulia Ackson Mwansasu
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--QuU0q6JnxM/Vk3e1IT05VI/AAAAAAAIG3k/T_n53cZsQLE/s72-c/1bf91463-914b-46c2-b497-c4aba449b7df.jpg)
DKT. TULIA ACKSON ASHINGA KINYA'NGANYIRO CHA NAIBU SPIKA WA BUNGE MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/--QuU0q6JnxM/Vk3e1IT05VI/AAAAAAAIG3k/T_n53cZsQLE/s640/1bf91463-914b-46c2-b497-c4aba449b7df.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WjcSy7VQDeU/Vk3e2hoEw6I/AAAAAAAIG3w/mRugjs15jKs/s640/8723da3c-1e9e-44bd-86b9-d8e67ead28ab.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ejUt-5dmI7w/Vk3e2Ky8KMI/AAAAAAAIG3s/Ke3-QwirOOc/s640/45735067-337f-4db5-ba2e-4f0e0736b1cb.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PS1wXB0v9e4/VkmdmUqMs-I/AAAAAAAIGLI/z-dMLXuQd1o/s72-c/34873ebf69776e90b065e0e0a1f67148.jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Dk Tulia Ackson achaguliwa Naibu Spika wa Bunge
Wabunge 250 wamepiga kura za ndiyo kwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Viti Maalumu, vya kuteuliwa na rais, Dk Tulia Ackson Mwansasu na kumchagua kuwa Naibu Spika wa Bunge la kumi na moja.
9 years ago
MichuziNaibu Spika wa Bunge Mhe Dkt Tulia Ackson akutana na Rais wa Baraza la Maseneta la Jamhuri wa Burundi Mhe Reverien Ndikuriyo
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7gtzAuxckRw/Xt9PzD7_cII/AAAAAAAC7IQ/h2PLsZcHVqcEzYhRrwxaVUDkd8Wq67_SACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AKIWASILI HOSPITALI KUMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-7gtzAuxckRw/Xt9PzD7_cII/AAAAAAAC7IQ/h2PLsZcHVqcEzYhRrwxaVUDkd8Wq67_SACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
*****
Naibu Spika, Dk.Tulia Ackson amemjulia hali Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe katika Hospitali ya Ntyuka, Dodoma anakopatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana na kisha kujeruhiwa na kuvunjwa mguu mmoja na kusema kuwa...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s72-c/8.jpg)
DK TULIA ACKSON NDIE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s640/8.jpg)
Idadi ya Wabunge inayotakiwa ni 394, waliosajiliwa 369, akidi ni 184 na waliohudhuria ni 351 na hakukuwa na kura iliyoharibika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Iz7KpuvLGk/Xl58SWOLxTI/AAAAAAALgxQ/cDuGSHDP0YkQWSnWLMd6kYlmzBYHOe5RACLcBGAsYHQ/s72-c/345f0555-69d9-44e4-ba79-f1742f1727f4.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AWAFUTA MACHOZI MAMA LISHE NA ABIRIA JIJINI MBEYA
March 2, 2020 Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson ametimiza ahadi yake kwa kuwakabidhi Mama lishe wa Stendi kuu ya mabasi Mbeya jiji vitendea kazi maalum vya kutumia wakati wa kuhudumia wateja wao (Aprons) ambapo jumla ya vitendea kazi vimetolewa, pamoja na hilo Dkt. Tulia ametimiza pia ahadi ya kutoa TV ambayo itakuwa inawawezesha abiria wa kituo hicho kufuatilia matukio mbalimbali pamoja na habari wakati wakisubiri kusafiri.
“Siku ya leo hatujaja kutekeleza kila ahadi kwasababu hapa tuna machinga...
“Siku ya leo hatujaja kutekeleza kila ahadi kwasababu hapa tuna machinga...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s72-c/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: MH. KASSIM MAJALIWA APITISHWA KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s640/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, muda mfupi uliopita limepitisha jina la Mbunge wa Jimbo la Rwangwa, Mh. Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Serikali ya awamu ya tano baada ya jina lake kupelekwa Bungeni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mh. Majaliwa amepitishwa kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5% ya kura zote za ndio.
9 years ago
Habarileo16 Nov
BREAKING NEWS: Rais Magufuli amteua Dk Tulia Mwansasu kuwa mbunge
RAIS wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amemteua Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Tulia Ackson Mwansasu kuwa mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania