NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AKIWASILI HOSPITALI KUMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-7gtzAuxckRw/Xt9PzD7_cII/AAAAAAAC7IQ/h2PLsZcHVqcEzYhRrwxaVUDkd8Wq67_SACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Naibu Spika, Dkt Tulia Ackson akiwasili katika Hospitali ya DCMC Ntyuka kumjulia hali M/Kiti wa Chadema na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe aliyelazwa katika hospitali hiyo akipatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana.
*****
Naibu Spika, Dk.Tulia Ackson amemjulia hali Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe katika Hospitali ya Ntyuka, Dodoma anakopatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana na kisha kujeruhiwa na kuvunjwa mguu mmoja na kusema kuwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p2NiTvnRhFA/Vk2ktxJAETI/AAAAAAAIGyU/b7oB5Yk_fJ8/s72-c/tulia.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: DKT. TULIA ACKSON MWANSASU APITISHWA KUWA NAIBU SPIKA WA BUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-p2NiTvnRhFA/Vk2ktxJAETI/AAAAAAAIGyU/b7oB5Yk_fJ8/s640/tulia.jpg)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Iz7KpuvLGk/Xl58SWOLxTI/AAAAAAALgxQ/cDuGSHDP0YkQWSnWLMd6kYlmzBYHOe5RACLcBGAsYHQ/s72-c/345f0555-69d9-44e4-ba79-f1742f1727f4.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AWAFUTA MACHOZI MAMA LISHE NA ABIRIA JIJINI MBEYA
“Siku ya leo hatujaja kutekeleza kila ahadi kwasababu hapa tuna machinga...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--QuU0q6JnxM/Vk3e1IT05VI/AAAAAAAIG3k/T_n53cZsQLE/s72-c/1bf91463-914b-46c2-b497-c4aba449b7df.jpg)
DKT. TULIA ACKSON ASHINGA KINYA'NGANYIRO CHA NAIBU SPIKA WA BUNGE MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/--QuU0q6JnxM/Vk3e1IT05VI/AAAAAAAIG3k/T_n53cZsQLE/s640/1bf91463-914b-46c2-b497-c4aba449b7df.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WjcSy7VQDeU/Vk3e2hoEw6I/AAAAAAAIG3w/mRugjs15jKs/s640/8723da3c-1e9e-44bd-86b9-d8e67ead28ab.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ejUt-5dmI7w/Vk3e2Ky8KMI/AAAAAAAIG3s/Ke3-QwirOOc/s640/45735067-337f-4db5-ba2e-4f0e0736b1cb.jpg)
9 years ago
MichuziNaibu Spika wa Bunge Mhe Dkt Tulia Ackson akutana na Rais wa Baraza la Maseneta la Jamhuri wa Burundi Mhe Reverien Ndikuriyo
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Dk Tulia Ackson achaguliwa Naibu Spika wa Bunge
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s72-c/8.jpg)
DK TULIA ACKSON NDIE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s640/8.jpg)
Idadi ya Wabunge inayotakiwa ni 394, waliosajiliwa 369, akidi ni 184 na waliohudhuria ni 351 na hakukuwa na kura iliyoharibika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-snResR_CY1k/XkVf68VGYLI/AAAAAAALdPw/RePO3dH5pkwWPRoCoJFXjRDDsABrqJhkgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0212AAA-768x512.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA AKINUNUA NYANYA SOKOMATOLA MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-snResR_CY1k/XkVf68VGYLI/AAAAAAALdPw/RePO3dH5pkwWPRoCoJFXjRDDsABrqJhkgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_0212AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/AA-5-1024x682.jpg)
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akinunua mahitaji mbalimbali ya nyumbani ikiwemo nyanya Sokomatola mkoani Mbeya. Picha na Michael Msombe
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s72-c/8.jpg)
DK. TULIA ACKSON APITA UNAIBU SPIKA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3swUSwB8P0/Vkt7YwCR5tI/AAAAAAAArhc/ZInvMnNajls/s640/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Dnla2W0rjc/Vkt7fLovi9I/AAAAAAAArhk/9quSU9UpU_A/s640/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ddGB53TecPU/Vkt7hK8lUxI/AAAAAAAArhs/urO6OPlY0Lg/s640/10.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PS1wXB0v9e4/VkmdmUqMs-I/AAAAAAAIGLI/z-dMLXuQd1o/s72-c/34873ebf69776e90b065e0e0a1f67148.jpg)