DK. TULIA ACKSON APITA UNAIBU SPIKA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s72-c/8.jpg)
Dk. Tulia Ackson amepita bila kupingwa baada ya kuchaguliwa na wabunge wa CCM kugombea nafasi ya Unaibu Spika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mmoja wa wagombea wa nafasi ya Unaibu spika Bahati Abeid akizungumza mbele ya wabunge wa CCM.
Mhe. Mariam Kisangi akizungumza mbele ya wabunge wa CCM kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo yeye pamoja na Bahati Abeid walijitoa na kumpa nafasi Dk.Tulia Ackson kupita bila kupingwa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongea...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Dk Tulia Ackson achaguliwa Naibu Spika wa Bunge
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Dk. Tulia Mwansasu achaguliwa kugombea Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania!
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wamchagua Dk. Tulia Ackson Mwansasu kugombea nafasi ya Unaibu Spika wa 11 wa Bunge la Jamhur la Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ambaye pia ni Mbunge wa Mtama amebainisha kuwa, Dk. Tulia amepata nafasi hiyo baada ya wagombea wengine wawili kujitoa hivyo kupita bila kupingwa.
Wagombea waliokuwa wakigombea nafasi hiyo ndani ya CCM ni pamoja na Mhe. Mariam Kisangi pamoja na Bahati Abeid.
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s72-c/8.jpg)
DK TULIA ACKSON NDIE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s640/8.jpg)
Idadi ya Wabunge inayotakiwa ni 394, waliosajiliwa 369, akidi ni 184 na waliohudhuria ni 351 na hakukuwa na kura iliyoharibika.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7gtzAuxckRw/Xt9PzD7_cII/AAAAAAAC7IQ/h2PLsZcHVqcEzYhRrwxaVUDkd8Wq67_SACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AKIWASILI HOSPITALI KUMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-7gtzAuxckRw/Xt9PzD7_cII/AAAAAAAC7IQ/h2PLsZcHVqcEzYhRrwxaVUDkd8Wq67_SACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
*****
Naibu Spika, Dk.Tulia Ackson amemjulia hali Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe katika Hospitali ya Ntyuka, Dodoma anakopatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana na kisha kujeruhiwa na kuvunjwa mguu mmoja na kusema kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p2NiTvnRhFA/Vk2ktxJAETI/AAAAAAAIGyU/b7oB5Yk_fJ8/s72-c/tulia.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: DKT. TULIA ACKSON MWANSASU APITISHWA KUWA NAIBU SPIKA WA BUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-p2NiTvnRhFA/Vk2ktxJAETI/AAAAAAAIGyU/b7oB5Yk_fJ8/s640/tulia.jpg)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Iz7KpuvLGk/Xl58SWOLxTI/AAAAAAALgxQ/cDuGSHDP0YkQWSnWLMd6kYlmzBYHOe5RACLcBGAsYHQ/s72-c/345f0555-69d9-44e4-ba79-f1742f1727f4.jpg)
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AWAFUTA MACHOZI MAMA LISHE NA ABIRIA JIJINI MBEYA
“Siku ya leo hatujaja kutekeleza kila ahadi kwasababu hapa tuna machinga...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--QuU0q6JnxM/Vk3e1IT05VI/AAAAAAAIG3k/T_n53cZsQLE/s72-c/1bf91463-914b-46c2-b497-c4aba449b7df.jpg)
DKT. TULIA ACKSON ASHINGA KINYA'NGANYIRO CHA NAIBU SPIKA WA BUNGE MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/--QuU0q6JnxM/Vk3e1IT05VI/AAAAAAAIG3k/T_n53cZsQLE/s640/1bf91463-914b-46c2-b497-c4aba449b7df.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WjcSy7VQDeU/Vk3e2hoEw6I/AAAAAAAIG3w/mRugjs15jKs/s640/8723da3c-1e9e-44bd-86b9-d8e67ead28ab.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ejUt-5dmI7w/Vk3e2Ky8KMI/AAAAAAAIG3s/Ke3-QwirOOc/s640/45735067-337f-4db5-ba2e-4f0e0736b1cb.jpg)
9 years ago
MichuziNaibu Spika wa Bunge Mhe Dkt Tulia Ackson akutana na Rais wa Baraza la Maseneta la Jamhuri wa Burundi Mhe Reverien Ndikuriyo
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...